Voicefromvoiceless
Member
- Sep 14, 2023
- 82
- 74
Wakulima wa mbaazi wa hapa mjini Kibaya wanalalamikia kuwa viongozi wa Wilaya wameshindwa kulinda maslahi ya wakulima wa mbaazi Wilayani Kiteto na wao kugeuka ndio madalali wa zao hilo.
Wakulima wamepima mbaazi zao toka wiki Moja iliyopita na bado hela hawajalipwa.
Kibaya zaidi wao mbaazi yao imepakiwa kupelekwa kuuzwa kwenye Soko la Dar es Salaam wao wakijua kuwa huo ni mnada kumbe watu wameamua kuingia kuwa madalali, na hili limeleta mgongano wa kimaslahi.
Watu wanatumia nguvu na walazimisha wakulima kupeleka mbaazi ghalani. Bei ambayo wao wamechukulia hizo mbaazi kwa wakulima ni Tsh. 2100/ hadi 2150/ kwa kg na wao wanauza soko la Dar es Salaam Kwa Tsh. 2400/ na zaidi, je mnufaika ni nani hapo?
Mkulima unakutana anakosa Tsh. 100/ Kwa kg ukizidisha mara ujazo wa Gunia ambalo ni kg 120 100=12000/- mara Tani 100 ambazo ni kg 10000?
Hapo mkulima anasafiwa au anakandamizwa?
Wakulima wamepima mbaazi zao toka wiki Moja iliyopita na bado hela hawajalipwa.
Kibaya zaidi wao mbaazi yao imepakiwa kupelekwa kuuzwa kwenye Soko la Dar es Salaam wao wakijua kuwa huo ni mnada kumbe watu wameamua kuingia kuwa madalali, na hili limeleta mgongano wa kimaslahi.
Watu wanatumia nguvu na walazimisha wakulima kupeleka mbaazi ghalani. Bei ambayo wao wamechukulia hizo mbaazi kwa wakulima ni Tsh. 2100/ hadi 2150/ kwa kg na wao wanauza soko la Dar es Salaam Kwa Tsh. 2400/ na zaidi, je mnufaika ni nani hapo?
Mkulima unakutana anakosa Tsh. 100/ Kwa kg ukizidisha mara ujazo wa Gunia ambalo ni kg 120 100=12000/- mara Tani 100 ambazo ni kg 10000?
Hapo mkulima anasafiwa au anakandamizwa?