Idrissou02
JF-Expert Member
- Jul 31, 2018
- 354
- 656
Wakuu, siku hizi naona kuna makampuni mengi Tanzania yanajitangaza kuuza matrekta. Je sisi wakulima wadogo tutanunuaje hayo matrekta ili kufanya kilimo cha kisasa wakati mtaji wetu ni mdogo.
NB: Trekta ndogo ni takribani Milioni 20 za kitanzania kwa nilivyoulizia.
NB: Trekta ndogo ni takribani Milioni 20 za kitanzania kwa nilivyoulizia.