Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Malegendari karibuni kwa huku tujumuike pamojaSerikali inaweza kukubana ukawa Busy kulitumikia Taifa na kutusahau Wana humu JF. Tuendelee kuwakumbuka na kuwaita Legends kadhaa ambao waliwika katika Majukwaa mbalimbali kipindi flani. Naanza na hawa Makamanda
GuDume
General Galadudu
Tafadhali walete wengine pia.
Mbona legendary P bado hawajamuona nakumlisha teuzi,au mnamdis humu jukwaani sana🥱Hao wamepewa teuzi tayari?
Zero IQ popote ulipofanya kama unajikuna tujione tasafali🏃🏃Kina technically MKWEPA KODI Mwanahabari Huru na britanicca huyu upotea akiibuka ni mfululizo wa threads kwa wiki mbili halafu anapotea anakuwaga na personality ya aina yake.
🤣🤣🤣🤣Kidukulilo A.K.A Rais wa Korea ya kaskazini
Na wenzake akina jingalao, Magonjwa Mtambuka, Bia yetu, Jane Lowassa, nk. Hawa hata wasipokuwepo, huoni kabisa pengo laoIla wapo wajinga wajinga kama Kawe Allumini na Stroke
Kidukulilo anatumia Bill Lugano kwa sasaSerikali inaweza kukubana ukawa Busy kulitumikia Taifa na kutusahau Wana humu JF. Tuendelee kuwakumbuka na kuwaita Legends kadhaa ambao waliwika katika Majukwaa mbalimbali kipindi flani. Naanza na hawa Makamanda
GuDume
General Galadudu
britanicca
Malaria Sugu
Baba Swalehe
@kidukulilo
@skyeclat
Zero IQ
Tafadhali walete wengine pia.
Serikali inaweza kukubana ukawa Busy kulitumikia Taifa na kutusahau Wana humu JF. Tuendelee kuwakumbuka na kuwaita Legends kadhaa ambao waliwika katika Majukwaa mbalimbali kipindi flani. Naanza na hawa Makamanda
GuDume
General Galadudu
britanicca
Malaria Sugu
Baba Swalehe
@kidukulilo
@skyeclat
Zero IQ
Tafadhali walete wengine pia.
Ile account alishaikataa kuwa si yake.Naona Gudume kafocus zaidi twitter
Na wenzake akina jingalao, Magonjwa Mtambuka, Bia yetu, Jane Lowassa, nk. Hawa hata wasipokuwepo, huoni kabisa pengo lao