smaki
JF-Expert Member
- Jan 23, 2019
- 4,976
- 3,098
Alaaaa! weye umesema kweli bana kuumbe! hilo jamaa ndo Eclat huyuuuuuu!! zero iq, nyarsare ndo huyo huyo!Jamaa kataja ID zake😂😂
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Alaaaa! weye umesema kweli bana kuumbe! hilo jamaa ndo Eclat huyuuuuuu!! zero iq, nyarsare ndo huyo huyo!Jamaa kataja ID zake😂😂
Wewew humjui Faiza fox vizuri! tatizo lake yule dada ana hasira sanaa za kiislamu....na kutukana hovyo nina hakika yule ingekuwa Live angejilipua live! kwa hiyo anacho fanya ni ku block walee wanaompinga!Huyu alikulaga ban ya milele na FaizaFoxy
@Makiwendo mmmh!Rebecca, Makiseo the most powerful feminists [emoji28]
Afadhali nawe unaisaidie kushangaa Shem wangu...@Makiwendo mmmh!
Kwamba huyu binti ni feminist?
Hata hivyo sijamuona mda sana shem wangu.
Umejuaje, yani hio miamba ilikuwa inanichachafya sana kuhusu utetezi wa HAKI SAWA, na bila ya msaada wa Extrovert hakika nilishawanyanyulia mikono juu [emoji119][emoji28]Mbona Makiseo!!!
Umem'miss nikuitie?
Ayseee...! Kumbe Makiseo ndiye wewe Makiwendo Mama la Mama [emoji848][emoji23]Afadhali nawe unaisaidie kushangaa Shem wangu...
Huo Ufeminist nimeutoa wapi..
Nipo Shem wangu...Miss you..
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Umejuaje, yani hio miamba ilikuwa inanichachafya sana kuhusu utetezi wa HAKI SAWA, na bila ya msaada wa Extrovert hakika nilishawanyanyulia mikono juu [emoji119][emoji28]
Au ndiye wewe Makiwendo? Kiukweli nimewamiss sana wakulungwa [emoji3526]
Ndiyo mimi baaana....Ayseee...! Kumbe Makiseo ndiye wewe Makiwendo Mama la Mama [emoji848][emoji23]
Na Nyani Ngabu kipenzi cha mabinti.Ila wapo wajinga wajinga kama Kawe Allumini na Stroke
Huyo alikuwa na dry spell daraja la kwanza.Rebecca, Makiseo the most powerful feminists [emoji28]
Sijawahi kuona member mtata kama huyu tangu niingie JF 2010.Huyu jamaa alikuwa hata akija tu akakohoa au akapiga chafya anakula ban sijui yupo wapi Malaria Sugu
Dah!Hivi BAK amepotelea wapi jamani !!
Atarudi tu lakini huyo huwa anapotea na kurudi ivoivo,!Dah!
Mwisho alionekana humu November, 2021..
Sijui nini kilimsibu🙄🤔
Aisee.. vizuri akirudiAtarudi tu lakini huyo huwa anapotea na kurudi ivoivo,!