Wakumbukwe Mashujaa wetu wa JF waliopumzika au kubanwa na Serikali

Wakumbukwe Mashujaa wetu wa JF waliopumzika au kubanwa na Serikali

Huyu alikulaga ban ya milele na FaizaFoxy
Wewew humjui Faiza fox vizuri! tatizo lake yule dada ana hasira sanaa za kiislamu....na kutukana hovyo nina hakika yule ingekuwa Live angejilipua live! kwa hiyo anacho fanya ni ku block walee wanaompinga!

hata ukimpinga kidogo! alijikuta amewa block wana JF wooote!...huyu hajafungiwa ila amejifungia mwenyewe kwa utashi na uoga wake!
 
@Makiwendo mmmh!
Kwamba huyu binti ni feminist?
Hata hivyo sijamuona mda sana shem wangu.
Afadhali nawe unaisaidie kushangaa Shem wangu...
Huo Ufeminist nimeutoa wapi..

Nipo Shem wangu...Miss you..
 
Mbona Makiseo!!!
Umem'miss nikuitie?
Umejuaje, yani hio miamba ilikuwa inanichachafya sana kuhusu utetezi wa HAKI SAWA, na bila ya msaada wa Extrovert hakika nilishawanyanyulia mikono juu [emoji119][emoji28]

Au ndiye wewe Makiwendo? Kiukweli nimewamiss sana wakulungwa [emoji3526]
 
Umejuaje, yani hio miamba ilikuwa inanichachafya sana kuhusu utetezi wa HAKI SAWA, na bila ya msaada wa Extrovert hakika nilishawanyanyulia mikono juu [emoji119][emoji28]

Au ndiye wewe Makiwendo? Kiukweli nimewamiss sana wakulungwa [emoji3526]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Wewe Makiwendo huyu huyu...
Taarifa zangu zimeshindwa kukutambua kama kuna sehemu tumewahi kupishana mimi na wewe juu ya Ufeminist..

Isijekuwa unamzungumzia Zodwa wewe[emoji1]
 
Back
Top Bottom