Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Juzi jana na leo
Wengine hawajapotea bali wamesilimu au kubatizwa na kuamua kubadili majina. Jua wapo tuKuna mwamba alikuwa anaitwa viatu vya Samaki, huyu bingwa sijui alipoteleaga wapi
Siwezi kukusahau kwa jinsi ulivyomtishaga Ben Saanane.Aisee kumbe mnatukumbuka eeeeh! Kwa kweli nawapenda sana wote mnaonikumbuka. Majukumu yanatubana hadi tunasahau tulikotoka!
Alafu nawe ulitoweka sana
Siwezi kukusahau kwa jinsi ulivyomtishaga Ben Saanane.
Wagwan maahnYes
Habari
What's going on here
Pole mkuu karibu huku Tandale kumenogaNipo mkuu nimerudi nilikuwa porini huko napishana na muhanga tuu
Usipotee sana mkongweYes
Habari
Kumbe mimi mkongweUsipotee sana mkongwe
Tena kihongwe wa kale🤣Kumbe mimi mkongwe
@massniloSerikali inaweza kukubana ukawa bize kulitumikia taifa na kutusahau wana humu JF. Tuendelee kuwakumbuka na kuwaita malejendari kadhaa ambao waliwika katika majukwaa mbalimbali kipindi fulani. Naanza na hawa Makamanda;
GuDume
General Galadudu
britanicca
Malaria Sugu
Baba Swalehe
@kidukulilo
@skyeclat
Zero IQ
Mmawia
BAK
Tafadhali walete wengine pia.
Lara 1Serikali inaweza kukubana ukawa bize kulitumikia taifa na kutusahau wana humu JF. Tuendelee kuwakumbuka na kuwaita malejendari kadhaa ambao waliwika katika majukwaa mbalimbali kipindi fulani. Naanza na hawa Makamanda;
GuDume
General Galadudu
britanicca
Malaria Sugu
Baba Swalehe
@kidukulilo
@skyeclat
Zero IQ
Mmawia
BAK
Tafadhali walete wengine pia.
cha kuchakata papuchiZero iq mtake radhi,
Bado Yuko imara na kiwanda chake[emoji4]
Dah kweli aisee