Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Huyu jamaa alikua na chuki mno na jiwe, muandama bampa to bampa mpk anaingia kaburini
Galadudu alitisha sanaSerikali inaweza kukubana ukawa Busy kulitumikia Taifa na kutusahau Wana humu JF. Tuendelee kuwakumbuka na kuwaita Legends kadhaa ambao waliwika katika Majukwaa mbalimbali kipindi flani. Naanza na hawa Makamanda
GuDume
General Galadudu
britanicca
Malaria Sugu
Baba Swalehe
@kidukulilo
@skyeclat
Zero IQ
Mmawia
BAK
Tafadhali walete wengine pia.
Comte na Magonjwa Mtambuka ,pia Cocochannel enzi yake wapo kundi gani?Ila wapo wajinga wajinga kama Kawe Allumini na Stroke
Huyo kihelehele chake kinamponzaMbona legendary P bado hawajamuona nakumlisha teuzi,au mnamdis humu jukwaani sana🥱
Nini tatizo?
Yupo akiibuka ye ni kumtukana Magu tu.
No I did not know that I am much known in hereWanakuita wanajamvi huku hawakuoni wanasema au unakimbizana na Mzanzibar huko maweseni
Huyo Bia yetu nahisi atakuwa ndiye The sunk Coast Fallacy, CM117733 na kuendelea kama sikosei no au Lucas MashambwaNa wenzake akina jingalao, Magonjwa Mtambuka, Bia yetu, Jane Lowassa, nk. Hawa hata wasipokuwepo, huoni kabisa pengo lao
Mbona siku hizi haleti zile stori zake zilizokuwa zinatuondolea sana stress na kuchangamsha JF [emoji848][emoji2]Kidukulilo anatumia Bill Lugano kwa sasa
Rebecca, Makiseo the most powerful feminists [emoji28]Lisbon,Laki si pesa,Masai dada Lara 1 na miss Chaga wako wapi?
you are well known, and people remember you for your contributions here jfNo I did not know that I am much known in here
So busy right now
Serikali inaweza kukubana ukawa Busy kulitumikia Taifa na kutusahau Wana humu JF. Tuendelee kuwakumbuka na kuwaita Legends kadhaa ambao waliwika katika Majukwaa mbalimbali kipindi flani. Naanza na hawa Makamanda
GuDume
General Galadudu
britanicca
Malaria Sugu
Baba Swalehe
@kidukulilo
@skyeclat
Zero IQ
Mmawia
BAK
Tafadhali walete wengine pia.