Mr Q
JF-Expert Member
- Aug 16, 2012
- 18,046
- 38,598
Duh nawakumbuka wewe ritz faiza mlisumbua sana nyakati za mkwereKuna mwenzetu alikuwa anaitwa Motochini hivi bado yumo humu?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Duh nawakumbuka wewe ritz faiza mlisumbua sana nyakati za mkwereKuna mwenzetu alikuwa anaitwa Motochini hivi bado yumo humu?
Sidhani kakaTena kihongwe wa kale[emoji1787]
Mimi kijana wa jana hapa
Wewe upo tangu 2007 [emoji16][emoji16][emoji2357]Tena kihongwe wa kale[emoji1787]
Mimi kijana wa jana hapa
Huyo wa 2007 alikuwa parody tu.Wewe upo tangu 2007 [emoji16][emoji16][emoji2357]
We jamaa mnafki Sana
Umetajwa ni mkongwe humu.Sidhani kaka
Pole mkuu karibu huku Tandale kumenoga
Mbona Makiseo!!!Rebecca, Makiseo the most powerful feminists [emoji28]
Jane Lowasa alivuma kipindi cha mwendazakeNa wenzake akina jingalao, Magonjwa Mtambuka, Bia yetu, Jane Lowassa, nk. Hawa hata wasipokuwepo, huoni kabisa pengo lao
Wewe hii akaunti yako si ya toka 2007Huyo wa 2007 alikuwa parody tu.
Mie ndo halisi sasa.🤣🤣🤣🤣
Mwamba unanizeesha unanikosesha pisi kali ujue🙃
Hakuna kitu kama hicho bossUmetajwa ni mkongwe humu.
Nani awabishie members watukuka wa JF
Hakuna kitu kama hicho bossUmetajwa ni mkongwe humu.
Nani awabishie members watukuka wa JF
Sasa kwa dar maji hakuna , usalama mdogo wala huwezi kulala nje kama kipindi cha miaka ya 2000 kuridi nyumaMmm huko nasikia maji ya shida hadi watu hawalali ndani tena
Ukongwe siyo umri bana🙃Wewe hii akaunti yako si ya toka 2007
Angalia nani mkongwe baina yako na yangu.Hakuna kitu kama hicho boss
OK sawa bossAngalia nani mkongwe baina yako na yangu.
Nani mwenye posts nyingi.
Wakati wewe unajaza posts nilikuwa nursery najifunza kuandika na kusoma[emoji1787]