Wakumbukwe Mashujaa wetu wa JF waliopumzika au kubanwa na Serikali

Wewe upo tangu 2007 [emoji16][emoji16][emoji2357]

We jamaa mnafki Sana
Huyo wa 2007 alikuwa parody tu.
Mie ndo halisi sasa.🤣🤣🤣🤣

Mwamba unanizeesha unanikosesha pisi kali ujue🙃
 
(1)Mnyisanzu (2)Ndevu si mzigo lakini yawezekana wengi wao they died au wamebadili id.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…