Wakurugenzi wa Halmashauri Nchini Watakiwa kutenga Fedha za Ndani ili Kuunga Mkono Juhudi za Wananchi

Wakurugenzi wa Halmashauri Nchini Watakiwa kutenga Fedha za Ndani ili Kuunga Mkono Juhudi za Wananchi

Stephano Mgendanyi

JF-Expert Member
Joined
May 16, 2020
Posts
2,833
Reaction score
1,301

WAKURUGENZI WA HALMASHAURI NCHINI WATAKIWA KUTENDA FEDHA ILI KUUNGA MKONO JUHUDI ZA WANANCHI

Wakurugenzi wa Halmashauri Nchini Wametakiwa kuhakiksha wanatenga fedha katika mapato ya ndani ili kuunga mkono juhudi za wananchi katika maeneo yao ya kiutawala.

Agizo hilo limetolewa leo 22 Mei, 2023 Bungeni Jijini Dodoma na Naibu Waziri Ofisi ya Rais TAMISEMI Mhe. Deo Ndejembi wakati akijibu swali la Mbunge wa Momba Mhe. Condester Sichalwe aliyetaka kujua ni lini Serikali itakamilisha ujenzi wa maboma 20 yaliyopo katika Wilaya ya Momba

Aidha, Mhe. Ndejembi ameahidi kuwa Serilaki itasaidia


 
Back
Top Bottom