Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mkuu inaonyesha hivyo, na pia inaelekea ni first appointment.
na Kadi ya dini ya kiislam.CV ya nini ikiwa mliwateua baada ya kufanya vetting?
Siku hizi ni tofauti.. Kwanza uteuzi kisha ndio vetting .. Usishangae baada ya wiki wengine wakatenguliwa
Yaani hata Makatibu tarafa wengine wana CV kubwa kuliko hawa wateule wa safari hii.Only in Tanzania Unateua Mtendaji DED, Hauna CV yake ila unajua tu ya Kwamba ni MwanaCCM. Hatutakaa Tukafika " Kujenga Nchi Kwanza si Kazi Rahisi Kivile. Hawa ndio Watasimamia Wilaya Zetu ktk Allocation and monitoring of our scarce resources. Daaa!
nchi vituko sana hii. maana yake hawakufanya vettingInachekesha sana aisee [emoji1787]
Imagine mkuu, nawaza tu itakuaje mteuliwa akiwa na vyeti vyenye uwalakini? Au asipokuwa na vyeti kabisa?nchi vituko sana hii. maana yake hawakufanya vetting
DED ni CEO haitakiwi kuwa first appointment. Succession Plan kwenye vyeo nyeti kama hivi ni muhimu.Mtendaji DED
Unatenguliwa huku ulishaanza kujimwambafai wewe ni mkurugenziSiku hizi ni tofauti.. Kwanza uteuzi kisha ndio vetting .. Usishangae baada ya wiki wengine wakatenguliwa
Mkuu nakubaliana nawe kuwa cheo cha DED ni CEO, mtu huteuliwa kwenye cheo ambaye ana uzoefu kwa maana kupanda cheo, hivyo inamaana alishaajiriwa nngazi ya chini ambako vetting ilifanyika. Leo baada ya miaka 60 ya uhuru DED anayeuliwa tu bila kujua sifa zake za elimu na taaluma. TUMEKWAMADED ni CEO haitakiwi kuwa first appointment. Succession Plan kwenye vyeo nyeti kama hivi ni muhimu.