Wakurugenzi wapya walioteuliwa watakiwa kuripoti TAMISEMI wakiwa na CV pamoja na vyeti vyao

Wakurugenzi wapya walioteuliwa watakiwa kuripoti TAMISEMI wakiwa na CV pamoja na vyeti vyao

Inabidi zianze kutangazwa na watu waajiriwe kwa contract na achievement walikotoka mwanzo bila hivo tunarudi kwenye ujinga 60 year's of independence
Nadhani wakati umefika kwa nafasi zote za kiutendaji ziwe zinatangazwa. Nafasi za uongozi kama mawaziri, wakuu wa mikoa na wilaya ambao wasimamia Sera za chama kinachoisimamia Serikali, hao ndio wateuliwe na RAIS
 
Vetting ilitumika kadi ya UVCCM na ndio ilikuwa na nguvu,Leo vyeti vya taaluma,uzoefu je?
Siku hizi experience , education qualification, hazifanyi kazi, kazi ya uded, wangepewa watu wenye experience na degree waliofanya kazi uko halmashauri Kama maafisa mipango, wachumi, engineer, lawyers, afisa ardhi etc. Siyo uvccm qualifications.
 
Mtu anateuliwaje bila cv yake kujulikana?
Hizo nafasi inabidi zianze kutangazwa sasa maana it's a kind of joke flani
Wameitwa na vyeti ili kuvihakiki maana hawa ni wapya kabisa na uteuzi ni wa mara ya kwanza.

Na hivyo ndivyo ulivyo utaratibu wa kuajiri si watuma vyeti kwa email au fx au njia zingine, kisha waitwa upeleke Originals au?

Ujinga upo kwenye kutuma barua kama hizo na kuzianika kwenye public badala ya kuwapelekea wahusika mmojammoja yaishie hukohuko.
 
Only in Tanzania Unateua Mtendaji DED, Hauna CV yake ila unajua tu ya Kwamba ni MwanaCCM. Hatutakaa Tukafika " Kujenga Nchi Kwanza si Kazi Rahisi Kivile. Hawa ndio Watasimamia Wilaya Zetu ktk Allocation and monitoring of our scarce resources. Daaa!
Tanzania ya Vi-wonder! Ndiyo hii mkuu

Everyday is Saturday............................. 😎
 
Mbona hata ukipata ajira ya ualimu ni lazima unapoenda kuripoti lazima uende na vyeti sasa unashangaa nn wakurugenzi kwenda na cv

Sent from my VFD 600 using JamiiForums mobile app
Mkuu hiyo ya ualimu ni first appointment, vilevile ni taaluma. DED ni cheo ambacho mtu anakuwa promoted kutoka cheo chake cha chini
 
Only in Tanzania Unateua Mtendaji DED, Hauna CV yake ila unajua tu ya Kwamba ni MwanaCCM. Hatutakaa Tukafika " Kujenga Nchi Kwanza si Kazi Rahisi Kivile. Hawa ndio Watasimamia Wilaya Zetu ktk Allocation and monitoring of our scarce resources. Daaa!
😀 😀 😀 kuna mahali tunakwama sana kwa kweli
 
Siku hizi ni tofauti.. Kwanza uteuzi kisha ndio vetting .. Usishangae baada ya wiki wengine wakatenguliwa
Dada yangu (si mama kwangu), Rais Samia Suluhu Hassan aliwahi kusema "Rais huwa hakosei". Kwa usemi huo tu tayari alikuwa kakosea maana hakuna mtu asiyekosea, hayupo na hatakuwepo!

Ndio maana unahitajika upitiaji makini (keen vetting) katika kusoma, kuchambua na kuamua kabla ya kutandika mkeka wowote ule hadharani. Atakuja kuteua aliyekufa au mfungwa!

Sasa ona ambavyo kila uteuzi analazimika kurudiarudia na kurekebisha, hususan baada ya kukosa kutangulia uhakiki makini. Hata bunge la bajeti alilikosea mara kadhaa kwa kuliita bunge la katiba. Akasema: "sijui nina maradhi gani na katiba." Ni maradhi ya kukosea mara kwa mara kwa kukosa umakini!

Si maradhi ya katiba tu, bali hata maradhi ya wizara (mathalani kateua waziri wa tozo kandamizi badala ya waziri wa uchumi na mipango endelevu na yenye tija), maradhi ya mikoa, maradhi ya wilaya na sasa maradhi ya wakurugenzi wa halmashauri. Mkurugenzi mmoja anataka aongoze halmashauri mbili kwa wakati mmoja. Mara paap, kajikuta kakosea tena!

Je, atawezaje (au wasaidizi wake), kusoma na kuchambua kwa makini mikataba mikubwa yenye kurasa zaidi ya 800??!!

Sent from my TECNO LC6 using JamiiForums mobile app
 
Wameitwa na vyeti ili kuvihakiki maana hawa ni wapya kabisa na uteuzi ni wa mara ya kwanza.

Na hivyo ndivyo ulivyo utaratibu wa kuajiri si watuma vyeti kwa email au fx au njia zingine, kisha waitwa upeleke Originals au?

Ujinga upo kwenye kutuma barua kama hizo na kuzianika kwenye public badala ya kuwapelekea wahusika mmojammoja yaishie hukohuko.
Well said, issue hapo ni kuweka kila kitu publicly, hao tayari ni watumishi, habari zao zinapaswa kuwa ni personal, kati ya mwajiri na mwajiriwa
 
DED ni CEO haitakiwi kuwa first appointment. Succession Plan kwenye vyeo nyeti kama hivi ni muhimu.
Siku hizi nafasi za uteuzi ngazi ya halmashauri zinachukuliwa kama sehemu ya kwenda kuwaweka watu waliogombea udiwani na ubunge wakashindwa waende kutulia huko ili wasilie njaa mtaani.

Kwa maana hiyo wananchi hawapelekewi watumishi tena wanapelekewa watalii.

Imagine wale watoto watatu wataenda kuongoza senior employees wa wilaya wale ?
 
Mbona hata ukipata ajira ya ualimu ni lazima unapoenda kuripoti lazima uende na vyeti sasa unashangaa nn wakurugenzi kwenda na cv

Sent from my VFD 600 using JamiiForums mobile app
Mazingira ya kumwajiri mwalimu na mkurugenzi ni vitu viwili tofauti.

Mwalimu anatuma maombi kwa njia ya mtandao ndio maana wakati wa kuripoti hutakiwa kwenda na nyaraka zake ili zihakikiwe kama ni feki au OG

Lakini uteuzi wa wakurugenzi unafanywa under intensive vetting including kutuma cv na vyeti kwa mamlaka ya uteuzi kwaajili ya mapitio n.k

Sasa imeendaje hawa watu ambao wanafanyiwa vetting before kuteuliwa waambiwe wakaripoti tena na vyeti ambavyo tayari walishatuma?
 
CV ya nini ikiwa mliwateua baada ya kufanya vetting?
Ndio ubabahishaji wenyewe.

Je kama wengine wakionekana wana vyeti vyenye kasoro, mamlaka ya uteuzi itawajibika na tutafahamishwa kama walivyotufahamisha kama katika hii barua?

Tukumbuke mteuzi mkuu ni mkuu wa nchi.
 
Kwani Luna shida gani kumuriwa kwenda na hvyo vitu.. Halinya kuwa hata kwenye ajira tunaona, MTU anatuma maombi ya kazi mtandaoni na anaambatanisha nyaraka zake zote. Mwisho Sikh ataitwa interview na atatakiwa sense na vyeti hali kadhalika akipata kazi ataamuriwa tena aende na vteti hyo ndio kazi ya vyeti.. Acheni vifanye Nazi take.. Siku zote hauba mazoea waka uenyejienyeji kwenye kazi za umma
 
Back
Top Bottom