Akilinjema
JF-Expert Member
- Aug 9, 2016
- 11,430
- 11,813
Utaratibu wa sasa hautendi haki.
Hautoi fursa sawa kwa watanzania wote wenye Sifa kupata fursa ya kutumikia Taifa lao.
Ni wale ambao ni ndugu na wanaojulikana na Rais na wasaidizi wake tu ndio wanapata huo upendeleo.
Hii si sawa hata kidogo.
Actually uwezekano wa kupata watu wasio mahiri na Sifa ni mkubwa sana ambapo itaenda kuchelewesha maendeleo ya nchi.
Katiba katiba .
Hautoi fursa sawa kwa watanzania wote wenye Sifa kupata fursa ya kutumikia Taifa lao.
Ni wale ambao ni ndugu na wanaojulikana na Rais na wasaidizi wake tu ndio wanapata huo upendeleo.
Hii si sawa hata kidogo.
Actually uwezekano wa kupata watu wasio mahiri na Sifa ni mkubwa sana ambapo itaenda kuchelewesha maendeleo ya nchi.
Katiba katiba .