Wakurugenzi wapya walioteuliwa watakiwa kuripoti TAMISEMI wakiwa na CV pamoja na vyeti vyao

Only in Tanzania Unateua Mtendaji DED, Hauna CV yake ila unajua tu ya Kwamba ni MwanaCCM. Hatutakaa Tukafika " Kujenga Nchi Kwanza si Kazi Rahisi Kivile. Hawa ndio Watasimamia Wilaya Zetu ktk Allocation and monitoring of our scarce resources. Daaa!
Yale maandamano ya kesho kadi za UCHADEMA tunaonyesha na kujisajiri wapi?
 
Mkuu hiyo ya ualimu ni first appointment, vilevile ni taaluma. DED ni cheo ambacho mtu anakuwa promoted kutoka cheo chake cha chini
Sawa tunataka aje na vyeti vyake original huku tunazo copy tuu. Sasa ubaya uko wapi? au nyie mnadhani original inatunzwa na serikali
 
First appointment unakuwa DED? nimeona vibinti vibichi kabisa inawezekana ni first appointment from uvccm...
Mkuu ndio maana nikasema kwa cheo cha DED kuajiriwa kama first appointment ndio makosa ama umimi. Matokeo ya umimi ni kukwana tu hamna namna
Sawa tunataka aje na vyeti vyake original huku tunazo copy tuu. Sasa ubaya uko wapi? au nyie mnadhani original inatunzwa na serikali
Sawa Mkuu, lakini kama ni hivyo wangetangaza kuwa TAMISEMI or whatever wanatangaza nafasi za DED kwa wafuatao na wanatakiwa waje na vyeti vyao na VCs zao, sio watu hao WAMETEULIWA KUWA MA-DED hivyo waje hizo particulars. HAIPENDEZI KATIKA UTUMISHI WA UMAA
 
Mwenye CV ya aliyekuwa afisa tarafa wa kinondoni ambaye amaepelekwa kisarawe aliyechukua nafasi ya Mussa Gama aiweke hapa tafadhali. Maana online ipo ya kusema ni System Administrator na Data entry phoneshack Ltd.

Mkurugenzi yahitaji uwe senior civil servant with at least A degree in Accounting, Economics or Business Administration kama sio masters. Kidogo hii inaonesha mapungufu kwa mteauaji.
 
Hawa hawaendi kuwa DEDs hawa ni makala wa uchaguzi kuhakikisha ccm inashinda.
Kwa aina hii ya maDED wa kutoka uvccm, wakuu wa idara watakuwa wanajiongoza.....hakuna DED hapo, labda mhudhuriaji wa ofisini.
 
Wastutoe Road kujadili ujinga wao
TUKO PAMOJA NA FREEMAN EIKAEL MBOWE
 
ummy nae kiherehere, ameshindwa nini kumwambia ntejengwa awapigie simu kuwaita ofisini kwake.
 
Huyu dada elimu yake ya hapa na pale nadhani
 
Mbona hata ukipata ajira ya ualimu ni lazima unapoenda kuripoti lazima uende na vyeti sasa unashangaa nn wakurugenzi kwenda na cv

Sent from my VFD 600 using JamiiForums mobile app
Hoja yako ni ya kijinga sana na inaonesha hujui lolote kuhusu utumishi wa umma , huwezi fananisha ajira za ualimu na uteuzi wa wakurugenzi wa halmashauri.
 
Huyu dada elimu yake ya hapa na pale nadhani
Mama samia nikimuangalia alivyo anza vizuri na vituko anavyo vileta sasa namshangaa tu, wakurugenzi gani hawa kawateua awamu hii.
 
Katiba mpya ndio suluhu pekee
Only in Tanzania Unateua Mtendaji DED, Hauna CV yake ila unajua tu ya Kwamba ni MwanaCCM. Hatutakaa Tukafika " Kujenga Nchi Kwanza si Kazi Rahisi Kivile. Hawa ndio Watasimamia Wilaya Zetu ktk Allocation and monitoring of our scarce resources. Daaa!
 
Neno vetting linakera sana, ila wabongo hamuishi kulitumia kama vile lina mantiki yoyote kubwa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…