Kunguru wa Manzese
JF-Expert Member
- Apr 20, 2016
- 12,729
- 18,119
katoto kazuri si wewe ile id yako nyengineK
Katoto kazuri??
Who is thT??
Haujakutana naye safarini.
Mmlikuwa mmetoka naye huko kwako ulimwambia nisindikize mahali .
Umeelewa . Akatoka huko bila kuaga alikiwa kavaa nguo nyeupe na alikuwa mzuri sana kaumbika mrefu .
Ila kusafiri kwa sana akakosa pumzi badala ya kumsaidia kumpa huduma ya kwanza ulikuwa unamuangalia .
Wewe niendelee au niache gari ilikuwa kubwa nyeusi . Ila uliogopa nakufanyaje
Mwambie aseme ukweli. Umeambiwa useme ukweli .
Unateseka na huna uhuru kuwa huru ila ni ndugu wa rafiki kipenzi mwambie ataelewa .
Usifiche na umeshaoa
Ni kweli napenda watoto wazuri walio umbika hasa wenye chura
Ila huko kwengine ulikoandika hata sielewi umeandika nini hati mbovu
Hata mbovu kiswahili hakieleweki
Is that weird ? I'm turned on na huu mwandiko wako