Wakuu acheni michepuko

katoto kazuri si wewe ile id yako nyengine

Ni kweli napenda watoto wazuri walio umbika hasa wenye chura


Ila huko kwengine ulikoandika hata sielewi umeandika nini hati mbovu


Hata mbovu kiswahili hakieleweki

Is that weird ? I'm turned on na huu mwandiko wako
 
Huyo mwanamke mmoja alitongozwa na nyoka mpaka leo tuna nyooka, we unataka mume wa pekeyako je huyo mume umempa bikira yako? Au gari ishaenda kilometa 80 ndio unakuja kutufokea huku, nasubiri jibu.
 
Huyo Hawa mwenyewe anayemtja alipigwa saund 1 mpaka leo tunapogika.
 
Delila sio Derila.

najua nimechokoza nyuki.
Hujachokoza nyuki kijana coz hata kwenye kusema Samson aliuliwa na Wafilisti amekosea. Samson ndiye aliyewauwa wafilisti kwa kuangusha nguzo za hekalu na jengo zima kudondoka chini baada ya kutubu na kuomba nafasi/kibali nyingine mbele za Mungu
 
Unateseka seriously potelea mbali .
Shauri yako you will never be at peace until you tell everyone the thruth about that lady
 
Hujachokoza nyuki kijana coz hata kwenye kusema Samson aliuliwa na Wafilisti amekosea. Samson ndiye aliyewauwa wafilisti kwa kuangusha nguzo za hekalu na jengo zima kudondoka chini baada ya kutubu na kuomba nafasi/kibali nyingine mbele za Mungu
Alitubu na akapewa nguvu tena na wakafa wote ila ukweli ni huu hapa unapokwenda kwa malaya ndio nguvu zinatoka hadi uje uoe huwezi hata round mbili mnazimia kwenye inshu ni aibu wazee wenu walikuwa ishu wanapiga kama nini.
 
Huyo mwanamke mmoja alitongozwa na nyoka mpaka leo tuna nyooka, we unataka mume wa pekeyako je huyo mume umempa bikira yako? Au gari ishaenda kilometa 80 ndio unakuja kutufokea huku, nasubiri jibu.
Acha kuzini usichanganye mada
 
Jamani katoto kazuri hizi Ramli unatoa wapi
Alikosa pumzi hukumzima wewe shida uliofanya ni hii uliogopa ukamwacha kwenye lile pori .
Ungempeleka tu hospitali may be hakuwa kasepa au ungefungua vioo.
Ila kwa woga ulimwacha porini.
Ila hadi leo ukikumbuka tukio unakunywa mbaya sana pole .
Nahaunywagi?
Naulivyomstaarabu sasa pole
 
Yakobo alifanyaje??.
 
.
 

 
How comes the oldest woman who is not vargin is try to blames the Man who provide hear Everything , Foodstuffs shelter and clothes . Shame on them
 
Mtoa mada unamjua mfalme suleiman

Yule kipenzi cha Mungu???
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…