Isanga family
JF-Expert Member
- Feb 25, 2015
- 17,080
- 33,076
Mkuu ungesema ushuru wa bara kiasi gani maana gharama ya kubeba tuu bila ushuru haisadii ili mtu aone ni bora anunue huko au laa na kwa bei gani...
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ushuru laki 6 kuivusha laki nneHapo kwenye ushuru na kulivusha laki sita nina mashaka mdau.
Million 5.5 mkuuMpaka kuliweka barabarani Inagharimu kiasi gani mbali na hiyo Mil 4 mkuu?
Shukran sana mkuu kwa kunisaidia kuwajulisha@zanzibar spices:Gari ipo vizuri.Na ZANZIBAR gari hazina nyendo,mji mdogo
To be stable uwe na kam extra 1.5 m mpaka Dar na vibali vyote.
Laki 6 haiwezi kuwa tofauti ya kodi,maana usafiri ni rahisi sana
Mdau hapo bado 450,000.00Tshs ya usajili. ukijumlisha zote hizo ni almost 1,500,000.00tshs.Ushuru laki 6 kuivusha laki nne
Uko sawa mkuuMdau hapo bado 450,000.00Tshs ya usajili. ukijumlisha zote hizo ni almost 1,500,000.00tshs.