sirajj johnn
JF-Expert Member
- Apr 5, 2017
- 1,540
- 865
- Thread starter
- #101
Spacio bado ziko sokoni
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ushuru nalipa Bara si zanzibar.Kanunue tu mkuu ushuru hauwezi kwa Zanzibar kufika hiyo bei usipotoshe watu
[emoji122] [emoji122] [emoji122] imetuliaWakuu husika na kichwa cha habari hapo juu vitz inauzwa kwa million tano tuu Iko katika hali nzuri imara na nzuri sana Gari iko Zanzibar na ushuru wake mpaka bara ni laki sita(6)
Ewe mwana jf chukua hii gari maana haili sana mafuta
Piga 0766-195115
E-mail sirajimsilanga55@gmail.com
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
Karibuni sana wakuu
Piga 0766-195115
Karibu sana na Ahsante sana.
Akisema passo mkuuKuna Jamaa juzi humu jukwaani alisema kwenda Na vitz kwa wakwe Ni aibu!
akashambuliwa kweli
Iko Zanzibar mkuubado iko zanzibar au iko dar
Ahsante sana mkuuBaby walk again...........
YegoYego Masika
Zote jamii moja tu ya Baby Walker, dont try them at wakwez placeAkisema passo mkuu
Mkuu kwa town kinasaidia na hizi mvua zinazoanza mbona tutaheshimiana nasikia november yote mvua mwanzo mwishoZote jamii moja tu ya Baby Walker, dont try them at wakwez place
Uzoefu unaonesha pasi na shaka watu wa aina yako hawajawahi kumiliki hata Toyo.Zote jamii moja tu ya Baby Walker, dont try them at wakwez place