Car4Sale Wakuu amarok model 2014 cc inauzwa 29 million

Car4Sale Wakuu amarok model 2014 cc inauzwa 29 million

hebu acha kuaminisha watu uongo!

taa gani zinahitajika hapo? au bonnet gani linahitajika hapo, wakati unaona ni kurekebisha tu, even hivyo vitu vyote ulivyotaja ni mafikirio, lakini simply kwa wataalamu wa gari ukishaona picha hapo! unajua nini cha kurekebisha !

20mil ya nini yote??
Iyo gari spare parts zake ni bei sana,usishangae ikafika 20 mil,najua coz boss wangu anayo kufanya service ya kawaida kama kumwaga oil tu na vitu vidogo vidogo 1mil inakata sembuse kununulia taa sijui nn? Hapo kunakazi sana baadaa ya kununua nalijua ilo gari vizur,jiandae kweli siyo toyota iyo mkuu
 
Iyo gari spare parts zake ni bei sana,usishangae ikafika 20 mil,najua coz boss wangu anayo kufanya service ya kawaida kama kumwaga oil tu na vitu vidogo vidogo 1mil inakata sembuse kununulia taa sijui nn? Hapo kunakazi sana baadaa ya kununua nalijua ilo gari vizur,jiandae kweli siyo toyota iyo mkuu
Mkuu ukiongea utaambiwa unawaharibia watu biashara.
 
Haraka haraka utahitaji
1.taa
2.bumper
3.grille
4.bonnet
5.wing
6.radiator
7.radiator fan
8.condenser
9.expansion tank
10.pas pump*
11.alternator*
12.ac compressor*
13.airbags

Hapo si chini ya 20m.
mkuu ina hii namba c inavyouzwa
d5e3143d9e903c317624a265669b0e8d.jpg
 
sasa usd 20000 si ni almost ml45? so kama hii namba D ya jamaa utaipata kwa 20m ukafaya service za 20 jumla ni 40
no problem na hilo
 
mkuu ina hii namba c inavyouzwa
d5e3143d9e903c317624a265669b0e8d.jpg
Kwani hio gari mpya inauzwa bei gani? Ukijua bei ya mpya(hii kwenye picha ni base model) hutafuatilia bei za kibongo.
 
sasa usd 20000 si ni almost ml45? so kama hii namba D ya jamaa utaipata kwa 20m ukafaya service za 20 jumla ni 40
no problem na hilo

Sasa tatzo je chasis hajipata hitilafu? Maana changamoto za mzinga huo kama chassis imepata hitilafu gari inaanza kukatika viuno kama mcheza kigodoro vile
 
Iyo gari spare parts zake ni bei sana,usishangae ikafika 20 mil,najua coz boss wangu anayo kufanya service ya kawaida kama kumwaga oil tu na vitu vidogo vidogo 1mil inakata sembuse kununulia taa sijui nn? Hapo kunakazi sana baadaa ya kununua nalijua ilo gari vizur,jiandae kweli siyo toyota iyo mkuu

kumwaga oil na service za kumwaga oil, cant be 1 mil bro! by the way mimi ni fundi magari ! nipo mwenge nafahamu nachoongea! Range yenyewe kufanya service kumwaga oil haifiki 400,000 sembuse hiyo!
 
kumwaga oil na service za kumwaga oil, cant be 1 mil bro! by the way mimi ni fundi magari ! nipo mwenge nafahamu nachoongea! Range yenyewe kufanya service kumwaga oil haifiki 400,000 sembuse hiyo!
Shukran sana mkuu kwa kumuelewesha
Karibu sana na ahsante sana mkuu
 
sasa usd 20000 si ni almost ml45? so kama hii namba D ya jamaa utaipata kwa 20m ukafaya service za 20 jumla ni 40
no problem na hilo
Liko zanzibar lilikua la serikali kuna kulipa ushuru hapo
 
kumwaga oil na service za kumwaga oil, cant be 1 mil bro! by the way mimi ni fundi magari ! nipo mwenge nafahamu nachoongea! Range yenyewe kufanya service kumwaga oil haifiki 400,000 sembuse hiyo!
Mr gango kumwaga oil Nissan hardbody being
Kwa kununua
1)Filters
2)air cleaner
 
Iyo gari spare parts zake ni bei sana,usishangae ikafika 20 mil,najua coz boss wangu anayo kufanya service ya kawaida kama kumwaga oil tu na vitu vidogo vidogo 1mil inakata sembuse kununulia taa sijui nn? Hapo kunakazi sana baadaa ya kununua nalijua ilo gari vizur,jiandae kweli siyo toyota iyo mkuu
Dah. Uongo mwingine bwana. Hio Amarok haiwezi kufika hata laki nne service. Assume unatumia oil za Atlantic ama BP ambazo ni ghali kidogo sokoni, lita moja ni around 20,000 (*4=80,000). Filter yake haizidi 100,000/-. Hio milioni unakuwa una service mpaka bodi ama?
 
Dah. Uongo mwingine bwana. Hio Amarok haiwezi kufika hata laki nne service. Assume unatumia oil za Atlantic ama BP ambazo ni ghali kidogo sokoni, lita moja ni around 20,000 (*4=80,000). Filter yake haizidi 100,000/-. Hio milioni unakuwa una service mpaka bodi ama?
[emoji1] [emoji1] [emoji1] plus nakuosha kwa presha 40000
 
kumwaga oil na service za kumwaga oil, cant be 1 mil bro! by the way mimi ni fundi magari ! nipo mwenge nafahamu nachoongea! Range yenyewe kufanya service kumwaga oil haifiki 400,000 sembuse hiyo!
Ongopa mtu anaenda cfao ananunua amarok mpya 0km alafu service afanye mwenge kwny garage yako mkuu? Naongelea wanaofanya service cfao unafikili kufanya service gari ya 2016 ni kuweka oil tu, siyo ivyo nenda pale cfao uone service inavyofanya mkuu computerized tu mkuu
 
Ongopa mtu anaenda cfao ananunua amarok mpya 0km alafu service afanye mwenge kwny garage yako mkuu? Naongelea wanaofanya service cfao unafikili kufanya service gari ya 2016 ni kuweka oil tu, siyo ivyo nenda pale cfao uone service inavyofanya mkuu computerized tu mkuu


kaka acha uoga au stori za mtaani! nakwambia hakuna service ya gari kumwaga oil ikafika 1mil
 
Amarok tumeishusha bei mpaka million 25.5 Karibuni sana wakuu
9346bb3df9e06a8028e340cf536d9b6c.jpg

Ahsante sana na karibu sana.
 
Karibuni sana kwa gari hii
Ya amarok kwa bei ya million 25.5
d9411a0477f119688bde381ea0f27953.jpg

Ahsante sana na karibu sana.
 
Karibuni wakuu gari hii ya Amarok bado iko sokoni
2492eb846dc8c3861a6e72491365ca1c.jpg

Karibuni sana wakuu
 
Back
Top Bottom