Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Weka picha ya dashboard, engine na video gari ikiwa imewaka.Sio kubeza biashara za watu mkuu na kama unataka kuona picha zote nishaweka pitia huu Uzi wote utaona mkuu
There you go! Airbag is blown out. Sasa washa gari halafu posti video ya engine gari ikiwa imewaka.Waweza pia kuona picha za ndani
![]()
![]()
![]()
![]()
Karibuni sana wakuu.
Haraka haraka utahitaji
1.taa
2.bumper
3.grille
4.bonnet
5.wing
6.radiator
7.radiator fan
8.condenser
9.expansion tank
10.pas pump*
11.alternator*
12.ac compressor*
13.airbags
Hapo si chini ya 20m.
Thanks karibu sana mkuuhebu acha kuaminisha watu uongo!
taa gani zinahitajika hapo? au bonnet gani linahitajika hapo, wakati unaona ni kurekebisha tu, even hivyo vitu vyote ulivyotaja ni mafikirio, lakini simply kwa wataalamu wa gari ukishaona picha hapo! unajua nini cha kurekebisha !
20mil ya nini yote??
Wewe unajua ufundi au hata bei ya parts za VW Amarok? Nime supply parts za Amarok hata mwezi haujapita najua ninachoongea. Taa ya kulia wewe unaiona hapo? Kuna mtu na akili zake timamu zama hizi utamwanbia anyooshe gari lake. Wacha niishie hapa.hebu acha kuaminisha watu uongo!
taa gani zinahitajika hapo? au bonnet gani linahitajika hapo, wakati unaona ni kurekebisha tu, even hivyo vitu vyote ulivyotaja ni mafikirio, lakini simply kwa wataalamu wa gari ukishaona picha hapo! unajua nini cha kurekebisha !
20mil ya nini yote??
Wewe unajua ufundi au hata bei ya parts za VW Amarok? Nime supply parts za Amarok hata mwezi haujapita najua ninachoongea. Taa ya kulia wewe unaiona hapo? Kuna mtu na akili zake timamu zama hizi utamwanbia anyooshe gari lake. Wacha niishie hapa.
Povu.kama umesupply, endelea kusupply huko! usituletee uongo hapa! sisi sio watoto wadogo au wajinga tusiojua magari!
20ml hamchukui Mkuu.
Inauzwa million 29 imepata ajali kidogo tu kwa mbele documents zote zipo sawa na aidaiwi kitu chochote Karibuni sana wakuu
![]()
![]()
![]()
![]()
Karibuni sana wakuu
Kama uko serious piga 076619511520ml hamchukui Mkuu.
Nije Leo hapo
Poa nakutafuta Mkuu kesho nikiripoti kazini muda ya saa 4 asbhKama uko serious piga 0766195115
Shukran sana mkuuPoa nakutafuta Mkuu kesho nikiripoti kazini muda ya saa 4 asbh