OKW BOBAN SUNZU
Platinum Member
- Aug 24, 2011
- 53,868
- 121,001
Wakuu hata haka kanishinde? Nikiweka bajeti ya 70m kwa miaka mitatu si nakamaliza haka?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ndio. Ila naweza fanya extension vyumba viwili kwa nyuma. Vifunikwe na bati tu bila slabRoom 2 tu za kulala?
Nateseka na ndoto mkuu. Eneo ni miguu 75 na 60. Naandaa Makazi ya kustaafiaTuvyumba tuwili tu twakulala haina haja ya kuingia hasara kiasi hicho, hoyo 70 unaangusha mjengo wa chini vyumba hata vi4 tena wa maana saana, au mzee eneo dogo.
Kama ni ndoto yako siku moja ulale juu(uwe na ghorofa) sawa mkuu.
Mbona kamebana sana space mkuu?View attachment 2400223
View attachment 2400224
View attachment 2400225
Wakuu hata haka kanishinde? Nikiweka bajeti ya 70m kwa miaka mitatu si nakamaliza haka?
Kwasyo namankaa, ngoja nshupiye kunu kidogoWatakuja hapa wana utopolo watakwambia kwa 70m ni gharama za msingi tu [emoji276]
Umeshafikia umri wa kustaafu?Nateseka na ndoto mkuu. Eneo ni miguu 75 na 60. Naandaa Makazi ya kustaafia
70M kanunue sarawili ya mgundaView attachment 2400223
View attachment 2400224
View attachment 2400225
Wakuu hata haka kanishinde? Nikiweka bajeti ya 70m kwa miaka mitatu si nakamaliza haka?
Ngoja waje Maengineer wa Buza wakupe muongozoView attachment 2400223
View attachment 2400224
View attachment 2400225
Wakuu hata haka kanishinde? Nikiweka bajeti ya 70m kwa miaka mitatu si nakamaliza haka?
Bado sana 20 au 25 mbeleUmeshafikia umri wa kustaafu?
Weka BOQ tuone70M kanunue sarawili ya mgunda