Inahusianaje na nilichoandika,
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Inahusianaje na nilichoandika,
Kesho kutwa nikirudiMkuu unaweza niptia ramani ya hako kamjengo
Hata akilala juu akikata gogo lazima lishuke chini.Tuvyumba tuwili tu twakulala haina haja ya kuingia hasara kiasi hicho, hoyo 70 unaangusha mjengo wa chini vyumba hata vi4 tena wa maana saana, au mzee eneo dogo.
Kama ni ndoto yako siku moja ulale juu(uwe na ghorofa) sawa mkuu.
Haha haaaaaaa hahahaha haaaaaaa haaaaaaaaaaa.......pichu de la gunda......teh teh teh teh teh eeeeeeeeeehhh.70M kanunue sarawili ya mgunda
Wanashauri tujikite kwenye subject matterInahusianaje na nilichoandika,
Acha mbambamba Kama una pesa Jenga hata kwa 150k huna hakuna fundi Wala msaada wowote wa kifedha ..ukimaliza tutumie ka pichaWanashauri tujikite kwenye subject matter
Nakushauri jikite kwenye mada. Ushabiki wa mpira jukwaa lake lipoAzam 1 Makolo 0
Hatujamalizaaaaa!
Hayo ndio maneno sasa mkuu. Tujadili kilichopo mezani,sio kuanzisha mada nyingineAcha mbambamba Kama una pesa Jenga hata kwa 150k huna hakuna fundi Wala msaada wowote wa kifedha ..ukimaliza tutumie ka picha
Ndio kaghorofa kama mdoli?Wee hujawahi pata raha ya kugegedana juu ghorofani 🤣🤣🤣🤣
Huna fantasy ya kugegedwa kwenye balcony ya ghorofani🤣🤣🤣🤣
My point is !!! Usitage mayai yote kwenye kiota kimojaKwa nini nitafute eneo lingine wakati kiwanja ni kikubwa cha kusaza? Huoni kwamba hiyo nyumba iliyopo inanipunguzia mahitaji ya kujenga ghorofa kubwa?
Sasa mkuu nikifanya hivyo hili geto la sasa nitalifanyia nini? Familia iishi hapa na kule, au kupangisha?! Kupangisha kwa mji naojenga ni hasara. Hata hii ina master 2, dinning na sitting halafu ananilipa 150k-hasaraMy point is !!! Usitage mayai yote kwenye kiota kimoja
Shit happens bro , usije kupoteza vyote kwa wakati mmoja
Kwasyo namankaa, ngoja nshupiye kunu kidogo
ila wabongo shkamoo, mtu anataka gorofa mnasema ajenge ya kawaida 🙁
Songela zig-zig mayuMatundo minge bwanee wee!,numba yaso ikondia swee!,
Huna chochote ulichokosea mkuu , ni vile tunabadilishana mawazo, hivi vitu mbele ya safari vinakuwa siyo vyetu bali vya hao tuliowaacha ,Sasa mkuu nikifanya hivyo hili geto la sasa nitalifanyia nini? Familia iishi hapa na kule, au kupangisha?! Kupangisha kwa mji naojenga ni hasara. Hata hii ina master 2, dinning na sitting halafu ananilipa 150k-hasara
Kama ni portfolio nimeshatengeneza. Mijengo 2 kwenye maeneo tofauti inatosha
Ndio ujue kuna watu na viatu
Si utani mkuuNdio ujue kuna watu na viatu [emoji851]
Nitakupa ramani nzuri.Nateseka na ndoto mkuu. Eneo ni miguu 75 na 60. Naandaa Makazi ya kustaafia
Nasubiri kwa hamu,ila iwe simple storey. Sina uwezo wa kujenga lidude kubwaNitakupa ramani nzuri.
Anza taratibu. Msingi andaa 18m.
Nasubiri kwa hamu,ila iwe simple storey. Sina uwezo wa kujenga lidude kubwa
Mil.70 unajenga nyumba nzuri kuliko hiyo kwenye picha japo uzuri ni subjective..View attachment 2400223
View attachment 2400224
View attachment 2400225
Wakuu hata haka kanishinde? Nikiweka bajeti ya 70m kwa miaka mitatu si nakamaliza haka?