The Sunk Cost Fallacy
JF-Expert Member
- Dec 1, 2021
- 19,582
- 14,167
Ghorofa gani Kwa mil.70? Hiyo pesa itaishia kwenye skeletonila wabongo shkamoo, mtu anataka gorofa mnasema ajenge ya kawaida 🙁
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ghorofa gani Kwa mil.70? Hiyo pesa itaishia kwenye skeletonila wabongo shkamoo, mtu anataka gorofa mnasema ajenge ya kawaida 🙁
Ndio maana sina ujinga wa kuacha kula maisha eti najibana nijenge..Huna chochote ulichokosea mkuu , ni vile tunabadilishana mawazo, hivi vitu mbele ya safari vinakuwa siyo vyetu bali vya hao tuliowaacha ,
Si unaona maghorofa kariakoo? Mengine yapo dated 1940 huko, wqliyoyajenga hawapo tena wala hawajui mijengo waliyoijenga pengine kwa kujibana kwa sasa anakaa nani!!!.
Kuna watoto wanaweza wasiwe na bond uliyowaachia huku mbele ya safari sasa kama vitu vyote uliweka sehemu moja ,mtoto mmoja mkorofi anaweza kuwadhulumu wenzake ,
My philosophy (siyo sheria) siweki vitu sehemu moja !
Kwa hio hela hata ukipanga container 4 kwa ghorofa unapata kitu cha maana kuliko huo ushuzi hapo pichaniView attachment 2400223
View attachment 2400224
View attachment 2400225
Wakuu hata haka kanishinde? Nikiweka bajeti ya 70m kwa miaka mitatu si nakamaliza haka?
Ndo cha kumwambia ila sio kumwammbia ajenge ya chini wakat ye yunataka mgorofaaGhorofa gani Kwa mil.70? Hiyo pesa itaishia kwenye skeleton
Mkuu ni pm tuongee!!
70m inatoshaa sana inawezekana
Minimalist. Degree of freedom ukiwa ndani ni zeroView attachment 2400223
View attachment 2400224
View attachment 2400225
Wakuu hata haka kanishinde? Nikiweka bajeti ya 70m kwa miaka mitatu si nakamaliza haka?
Umesema ukweli kabisa, mimi mzee wangu katuachia nyumba mbili lkn zote kazijenga ndani ya fence moja. Natamani kila moja ingekua eneo tofauti lkn ndo hivyo tena.Huna chochote ulichokosea mkuu , ni vile tunabadilishana mawazo, hivi vitu mbele ya safari vinakuwa siyo vyetu bali vya hao tuliowaacha ,
Si unaona maghorofa kariakoo? Mengine yapo dated 1940 huko, wqliyoyajenga hawapo tena wala hawajui mijengo waliyoijenga pengine kwa kujibana kwa sasa anakaa nani!!!.
Kuna watoto wanaweza wasiwe na bond uliyowaachia huku mbele ya safari sasa kama vitu vyote uliweka sehemu moja ,mtoto mmoja mkorofi anaweza kuwadhulumu wenzake ,
My philosophy (siyo sheria) siweki vitu sehemu moja !
[emoji23][emoji23][emoji23] Sio hivyo mkuuKwahiyo unataka pesa ya mtoa mada ukiisha kwenye msingi umkimbie [emoji28]?,wakati umeshavuta chako!
Hahah! Maisha ni safari asee binafsi sijawahi pata hata laki 6 kwa mwezi alafu ww unasema ukimeki kwa miaka 3 uipate hiyo 70mil wakat me hata nikimeki ndani ya muda huo sidhani hata 10mil inafika kama kuna connection ya pesa nisaidie bro.View attachment 2400223
View attachment 2400224
View attachment 2400225
Wakuu hata haka kanishinde? Nikiweka bajeti ya 70m kwa miaka mitatu si nakamaliza haka?
Hiyo unajenga bila shida ndg.Ndio. Ila naweza fanya extension vyumba viwili kwa nyuma. Vifunikwe na bati tu bila slab
Nilikuwa nakutafuta sanaWatakuja hapa wana utopolo watakwambia kwa 70m ni gharama za msingi tu [emoji276]
Nilikuwa nakutafuta sana
Kujenga hiyo unajenga na inabaki, sema uwe na undugu na fundi mkuu. Hawa mafundi ndio wanaofanya pesa zisitoshe, mkinunua vifaa wanaweka cha juu. Simamia hiyo unakaba kona zote, asubuhi inaingia site kutoka jioni. Ukiondoka unaacha mtu. Tatizo kama unaenda kazini, jenga ukiwa likizo.Nakabana ili kipato kitoshe. Ila eneo lina nyumba ya kawaida tayari
Freedom ya nini? Kupumua atapumua, hakuna group la kulala kwenye hiyo house.M
Minimalist. Degree of freedom ukiwa ndani ni zero
Fundi kazi yake ni kuainisha mahitaji na kujenga. Najenga nayeKujenga hiyo unajenga na inabaki, sema uwe na undugu na fundi mkuu. Hawa mafundi ndio wanaofanya pesa zisitoshe, mkinunua vifaa wanaweka cha juu. Simamia hiyo unakaba kona zote, asubuhi inaingia site kutoka jioni. Ukiondoka unaacha mtu. Tatizo kama unaenda kazini, jenga ukiwa likizo.
Hii ndio mimtu mijinga ya kukatisha tamaa. Heading ina shida ganiHutaweza maana hujiamini na ujenzi sio wa miaka 3 tu ukae ukijua hilo.
Ww hapo umeplani mipango mkeka kumbuka mungu nae anamambo yake anaplani juu yako. Ila kwa kutojiamini huko huwezi fanikisha. Ww kama ni jinsia me alafu unaandika kichwa cha habari hivyo hakuna namna tena😂😂😂