Wakuu hata haka kanishinde kwa 70m?

Wakuu hata haka kanishinde kwa 70m?

Huna chochote ulichokosea mkuu , ni vile tunabadilishana mawazo, hivi vitu mbele ya safari vinakuwa siyo vyetu bali vya hao tuliowaacha ,
Si unaona maghorofa kariakoo? Mengine yapo dated 1940 huko, wqliyoyajenga hawapo tena wala hawajui mijengo waliyoijenga pengine kwa kujibana kwa sasa anakaa nani!!!.
Kuna watoto wanaweza wasiwe na bond uliyowaachia huku mbele ya safari sasa kama vitu vyote uliweka sehemu moja ,mtoto mmoja mkorofi anaweza kuwadhulumu wenzake ,

My philosophy (siyo sheria) siweki vitu sehemu moja !
Ndio maana sina ujinga wa kuacha kula maisha eti najibana nijenge..

Huwa nafanya vitu Kwa ku relax
 
Ni pm tupange nikufanyie hiyo kazi,
70m inatoshaa inawezekana kabisa.
 
Mkuu ni pm tuongee!!
70m inatoshaa sana inawezekana
 
Huna chochote ulichokosea mkuu , ni vile tunabadilishana mawazo, hivi vitu mbele ya safari vinakuwa siyo vyetu bali vya hao tuliowaacha ,
Si unaona maghorofa kariakoo? Mengine yapo dated 1940 huko, wqliyoyajenga hawapo tena wala hawajui mijengo waliyoijenga pengine kwa kujibana kwa sasa anakaa nani!!!.
Kuna watoto wanaweza wasiwe na bond uliyowaachia huku mbele ya safari sasa kama vitu vyote uliweka sehemu moja ,mtoto mmoja mkorofi anaweza kuwadhulumu wenzake ,

My philosophy (siyo sheria) siweki vitu sehemu moja !
Umesema ukweli kabisa, mimi mzee wangu katuachia nyumba mbili lkn zote kazijenga ndani ya fence moja. Natamani kila moja ingekua eneo tofauti lkn ndo hivyo tena.

Sent from my SM-A105F using JamiiForums mobile app
 
Nakabana ili kipato kitoshe. Ila eneo lina nyumba ya kawaida tayari
Kujenga hiyo unajenga na inabaki, sema uwe na undugu na fundi mkuu. Hawa mafundi ndio wanaofanya pesa zisitoshe, mkinunua vifaa wanaweka cha juu. Simamia hiyo unakaba kona zote, asubuhi inaingia site kutoka jioni. Ukiondoka unaacha mtu. Tatizo kama unaenda kazini, jenga ukiwa likizo.
 
Hutaweza maana hujiamini na ujenzi sio wa miaka 3 tu ukae ukijua hilo.

Ww hapo umeplani mipango mkeka kumbuka mungu nae anamambo yake anaplani juu yako. Ila kwa kutojiamini huko huwezi fanikisha. Ww kama ni jinsia me alafu unaandika kichwa cha habari hivyo hakuna namna tena😂😂😂
 
Kujenga hiyo unajenga na inabaki, sema uwe na undugu na fundi mkuu. Hawa mafundi ndio wanaofanya pesa zisitoshe, mkinunua vifaa wanaweka cha juu. Simamia hiyo unakaba kona zote, asubuhi inaingia site kutoka jioni. Ukiondoka unaacha mtu. Tatizo kama unaenda kazini, jenga ukiwa likizo.
Fundi kazi yake ni kuainisha mahitaji na kujenga. Najenga naye
 
Hutaweza maana hujiamini na ujenzi sio wa miaka 3 tu ukae ukijua hilo.

Ww hapo umeplani mipango mkeka kumbuka mungu nae anamambo yake anaplani juu yako. Ila kwa kutojiamini huko huwezi fanikisha. Ww kama ni jinsia me alafu unaandika kichwa cha habari hivyo hakuna namna tena😂😂😂
Hii ndio mimtu mijinga ya kukatisha tamaa. Heading ina shida gani
 
Back
Top Bottom