Brave_Idiot
JF-Expert Member
- Nov 18, 2023
- 209
- 368
sina ujuzi lkn kaka jitahidi sana kuna wana photo copy ya kuchora unakuwa mhujui ipi OGHabarini za mda huu, nilikua nahitaji kujaribu kuanza kuuza art works, lakini ndo hivyo sijiamini amini, ebu let's take ndo wewe unaiona hii picha, unaweza inunua? Au haijakaa Mkao! Na vipi hapo ni rahisi mtu kujua kama ni Dar es Salaam au? Pia ni bei gani nzuri kui uza hii kazi ili itoke ?
View attachment 3094050
Boss! Nisinge weka hio reference hapo kwa juu, ungesanuka kitu? Mimi sio mpiga picha m nimtengeneza art ya picha halisiKama wewe si mpiga picha halisi wa hiyo picha basi acha mara moja utapata copyright strike ya kibabe! Na utalipa parefu kisheria.
Kinyume na hapo uza tu nzuri.
M kununua NO!Mteja wa kwanza ni wewe, je unawsza kununua ?
Ina maana huiamini kazi Yako mpaka ushindwe kuinunua ?M kununua NO!
Mkuu kama hii umeichora aiseee Wewe ni Kiwango cha juu cha Ubunifu na Uwezo. Naomba kukwambia kitu, Marekani Devon Rodriguez mwenye asili ya Puerto Rico na Honduras alipoanza kuweka hadharani kazi zake YouTube mwaka 2019 hakuwa na watazamaji wengi. Mpaka mwaka 2021 bado mambo hayakuwa mazuri. Leo ana watazamaji zaidi ya Bilioni 3 YouTube. Hii ni kazi nzuri mno itangaze, pia uwe unajirekodi video toka unapoanza kuichora mpaka unapomaliza itatumika kwa maudhui ya YouTube. Mungu akusimamie Boss, nauona Utajiri wako kupitia hii fani.Habarini za mda huu, nilikua nahitaji kujaribu kuanza kuuza art works, lakini ndo hivyo sijiamini amini, ebu let's take ndo wewe unaiona hii picha, unaweza inunua?
Au haijakaa Mkao! Na vipi hapo ni rahisi mtu kujua kama ni Dar es Salaam au?
Pia ni bei gani nzuri kuiuza hii kazi ili itoke ?
Issue sio hio picha yenyewe bali unaiprint wapi na unafanya finishing gani, kama una tafuta Alluminium frame, Ukatumia material kama Epoxy unauza bei nzuri tu.Habarini za mda huu, nilikua nahitaji kujaribu kuanza kuuza art works, lakini ndo hivyo sijiamini amini, ebu let's take ndo wewe unaiona hii picha, unaweza inunua?
Au haijakaa Mkao! Na vipi hapo ni rahisi mtu kujua kama ni Dar es Salaam au?
Pia ni bei gani nzuri kuiuza hii kazi ili itoke ?
Kaka kwema? bwana nina uhitaji wa laptop ya kusomea kwa Njia ya masafa,budget kama 800k mpaka 900k inaweza ongezeka kidogo,naomba ushauri wako bro,niagize pinduo au nichukue hapa bongo? je nichukue aina gani na duka gani unashauri nichukue?Issue sio hio picha yenyewe bali unaiprint wapi na unafanya finishing gani, kama una tafuta Alluminium frame, Ukatumia material kama Epoxy unauza bei nzuri tu.