FamousinTown
Member
- Aug 15, 2021
- 61
- 37
Sema waje tu .ila nasikia wanasubiri mpaka ishu za sensa zipiteLkn mkuu Naona Ndg waziri mkuu amesisitizia kwa mwaka huu wa bajeti na kusema Ndg Rais ametoa kibali cha askari 6000 Tayari
Askari wa nini ?Lkn mkuu Naona Ndg waziri mkuu amesisitizia kwa mwaka huu wa bajeti na kusema Ndg Rais ametoa kibali cha askari 6000 Tayari
Polisi 6000?Sema waje tu .ila nasikia wanasubiri mpaka ishu za sensa zipite
hzo kazisema jana waziri mkuu.kuwa askari wanyamapori elfusita mama samia katoa kibali cha kuajiriwaSi ndio hao misitu (tfs) ,utalii, wanyapori
Zishatoka toka June tunasubiri majibu
Maliasili washatoa kitambo mtoa mada ulikuwa wapi
yaaah ,askari wanyama poriPolisi 6000?
Askari wanyamaporiAskari wa nini ?
Sensa ilishapita ,na bado wapo kimya tu @TanapaSema waje tu .ila nasikia wanasubiri mpaka ishu za sensa zipite