Wakuu huu usajili wa Wasafi Festival sijauelewa

Aaaah ina maana wasanii wa wasafi wenyewe hujawaona?

Dudubaya akiimba nyimbo zake za enzi zile unafikiri hato amsha amsha?
Elewa mada..nimesema wasanii nje ya wao wenyewe..kwanini hawajasajiri wasanii wa kueleweka? Kwann waokoteze wasanii?
 
Una umri gani na umeanza kufuatilia mziki lini?
Yani hujui uwezo wa singasinga chunda bad??
Nafatilia Bongo Fleva toka 95...ebu tuambie hapa hits za hao jamaa...
 
Leo umesikia list ya Cloud? Kuna akina mandojo/soggy hilo ndo lilikuwa lengo la Diamond( wale wasanii ambao walikuwa hawathaninik na wao waanze kuthaminiwa hayo ndo mapinduzi ndg maana Clods ilikuwa inabagua sana wasanii wakat wote wanapambana wapate mkate but kupitia Mond wamezinduka mpk wameanza kitafuta wale ambao huwa hawapati shoo)
 
Mkuu unaamini watu wanabaniwa...ukiwa na kazi nzuri sokoni kila mtu atataka afanye kazi na ww!!

Niambie nani amewahi kuwa hits sokoni alafu akabaniwa...
 
Nimefatilia coment nimegundua tuna bishana na taahira mmoja iv wa 2000 kuja juu ambaye hata hajui anachokiongea! Rud shule dogo
 
Bila shaka wewe ni mtoto wa juzi so kwa akili yako unataka uletewe Mabantu/Jaymelod na Whozu[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] nenda Fiesta dogo
Mbona umekazania mtoto wa juzi...unataka kusema hao akina stereo wameanza kuimba lini?? Walikuwepo Early 2000 hao?
 
Nimefatilia coment nimegundua tuna bishana na taahira mmoja iv wa 2000 kuja juu ambaye hata hajui anachokiongea! Rud shule dogo
Shule ya nini na kufanya nini? Punguza mihemko..wala hujui umri wangu!!
 
Wewe subiri huo ni mwanzo tu siyo haraka haraka hivyo Mapinduzi yanakuja taratibu siyo kila Mapinduzi huja fastest kama upepo, tulia ujue mond atafanya nini hapo badae
 
FIESTA kwa sasa haina mvuto sababu kwanza wasanii wakubwa wa Tanzania hawataperform Alikiba Diamond Vanessa Navy Kenzo la pili FIESTA ilikuwa zamani mnasikilizia nani msanii Mkubwa anakuja mnafuatilia toka Marekani na walivyokuwa wajanja akija wanamweka mwishoni Mara nyingi FIESTA ilikuwa watu wanafuatilia hilo ila sasa Bongo flavour ipo ipo na mbaya zaidi wasanii wa sasa watakaoperform hawana mashabiki wengi kabisa hvyo watu watabaki Kahama(kiba) Na Mtwara(diamond) ambako zamani watu walikuwa wanasafiri kwa ajili ya FIESTA hvyo next time Clouds wajipange kuleta msanii mwenye mashabiki na watu wanahamu ya kumuona imagine clouds wangemleta labda Drake au Lilwayne (mfano)ingekuwaje
 
Wanabaniwa au hawana kazi za kuwafanya wapate show? Hivi hao akina Stereo na Chiny beez wana hits gani??
We unazani unachokipenda wewe basi watu wote wanakipenda,just wait baada ya Jumamosi ndio utajua balaa likuwaje,mbona hujawazungumzia ndugu zako kumwita Bwana Misosi na Mandojo ambao watu washasahau.
 
We unazani unachokipenda wewe basi watu wote wanakipenda,just wait baada ya Jumamosi ndio utajua balaa likuwaje.
Hapa sio suala la kupenda au kutopenda...ebu weka ngoma zao kali hapa au zitaje nikazitafute!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…