Sanchez magoli
JF-Expert Member
- Apr 24, 2015
- 4,055
- 8,540
Wanasemaga watu sehemu zenye mlundikano wa watu kama sokoni, stend nk ndo mambo haya yanatokea sanaSio wote wapishi wachafu baadhi ni wasafi usiogope.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wanasemaga watu sehemu zenye mlundikano wa watu kama sokoni, stend nk ndo mambo haya yanatokea sanaSio wote wapishi wachafu baadhi ni wasafi usiogope.
Kwa uliyoandika hapa ina maana mama na dada ntilie ndio wanaendesha familia huku waume/ bwana zao wakibembea tu. Sasa wanaweka nyumbani watu wa aina hiyo wa kazi gani, si waachane nao? Wanajibebesha mizigo ya kujitakia!Mwache mdogo wangu kalala kwenye lindo. Ni hivi unapewa bamia moja, mchicha kidogo, samaki kibua wanatoa feri wanajua jinsi wanavyo bargain, ugali wanakupa umeshapigiwa mahesabu. Mimi nina mama ntilie pale kwangu. Nyama minofu miwili, mchicha au mboga yoyote kidogo, maharagwe na mchuzi kidogo. At the end of the day kama wateja wamekuja anapata faida elfu 3 tu baada ya kunilipa mimi za pango na kulipa alipokopa kuanza biashara asubuhi. Upo. Akirudi nyumbani mme kanuna wakati yeye kabeba mandoo na mtoto mgongoni. Kesho yale yale halafu mnakuja humu mnatunanga wanawake hamjui maisha tunayoishi. Mnawaangalia hao mabishoo lakini mnasahau mama na dada zenu wanaoteseka kusomesha wadogo zenu bila msaada wa waume zao wanaolewa na kujidundika madawa.
asante mkuu,Mkuu cha muhimu ni kushiba mambo ya anapataje faida potezea.
Jamani we unachekeshaga sana na wewe nimecheka mpaka basimwaka 2017 baada ya kuitendea haki hela yote ya kujikimu, katika ku survive pale keko ndani ndani mule niliwahi kula ugali una nyama na mbg km sita hv kwa sh 300, kuna jamaa yang alikua na kiherere here akaniiga tukaenda wote, tulimrudisha geto kwa torori, siku mbili alivaa pempasi sijui ndio pedi zile m sijui huko, ilikua ukikaa nae karbu ukisikiliza huko tumboni n kama yale magari ya kuchanganya zege, huko chini kibiti nako ni mwendo wa kubadilisha honi na krach tuu,
Sema ilikuwa ni wewe acha kusingizia jamaa.mwaka 2017 baada ya kuitendea haki hela yote ya kujikimu, katika ku survive pale keko ndani ndani mule niliwahi kula ugali una nyama na mbg km sita hv kwa sh 300, kuna jamaa yang alikua na kiherere here akaniiga tukaenda wote, tulimrudisha geto kwa torori, siku mbili alivaa pempasi sijui ndio pedi zile m sijui huko, ilikua ukikaa nae karbu ukisikiliza huko tumboni n kama yale magari ya kuchanganya zege, huko chini kibiti nako ni mwendo wa kubadilisha honi na krach tuu,
Ukiwa pangoni bushland?Jamani we unachekeshaga sana na wewe nimecheka mpaka basi
Wewe Mlawi acha longolongo, tunajua unakula mabaki ya pizza unyamweziniUkiwa pangoni bushland?
Hahaha mgerasi bora mabaki ya pizza kuliko msosi uliopikwa na maji ambayo mtu kashaogaWewe Mlawi acha longolongo, tunajua unakula mabaki ya pizza unyamwezini
Sentensi ya mwisho mkuu ni kama marehemu kuku /vibudu waliojifia mabandaniUgali+amira kibao.
Matembere sokoni mengi tu yakuokota, gharama yako maji ya kusafishia na sasa hivi mitaro imejaa.
Dagaa wapo waliolowa na mvua hawafai kusafirisha, nikuwasafisha sana.
Nyama ndaza hizi bongebonge kilo elfumbili.
Kuku hii siri tangu, piga ua sikuambii.
Kibua ni nyoka au samaki. sema nimekula nyoka. Faida ipo mana nyoka ni bure 2Nimelipa 1500
Nimekula
Ugali
Dagaa wa mwanza
Samaki Kibua
Mlenda
Bamia
Maharage
Matembere
Kila kimoja kinajitegemea havijachanganywa.
Kipi Bora? Kunywa soda yenye sumu za viwandani?Vibanda vya juice zile clear disposable wanaziosha wanarudisha kwenye mzunguko
Kipi Bora? Kunywa soda yenye sumu za viwandani?
au kunywa juice yenye hatihati ya kuwa na matatizo lakini ndani yake pia kuna virutubisho muhimu.