Wakuu Kudate na namba A inahitaj sana Moyo Jana niliombwa Elfu tatu

Afu tatu tu yan
Alfu 3, ni fedha nyingi sana, kwa asiye na kipato, au mwenye biashara ndogo/ kwa bishara ya kuuza ubuyu au karanga.

Rejea hii👇
Sasa huyu demu kiufupi nilimuomba Appointment ili tuonane coz aliniambia anafanya biashara za Mnadani honestly Mimi Mwenyewe nauza Ubuyu so niliona wazi hapa nimepata mtu makini aambaye tupo ktk jahazi moja tukielekea Pemba.
 
Sikiliza bwana Eda Mkama nikushauri kitu we chukua ubuyu mpelekee akale wanawake wanapenda ubuyu sana.
 
Sasa mzee ukiombwa hela ya rasta si utatoa 10 na makelele Dunia nzima...
 
Mpe bhna..sa afu tatu ni hela ya kumnyima mtu kweli???
 
Una moyo sana mkuu, unadate na mwanamke mwenye mwandiko kama huu?? Kwanza text ya mwandiko kama huo inanipa kinyaa hata kujibu nadhani siwezi.
 
We jamaa ni mchoyo tu asilia huwezi mnyima mtu hela ya kula afu unakuja kujisifia bila hata aibu. Huyo anakuomba hela ndogondogo unamkazia sasa unataka mwanamke wa aina gani si upige masturbation tu uachane na wanawake
 
Ila Mkuu umekosea sana kuiita 24yrs namba A.
Huyo ni binti mdogo sana.
 
Dah jamaa unadate na mtoto wa STD 7 ona hata uandishi wake
 
Sindano za gono zinauma kuliko gono lenyewe, anyway dawa zipo kwaajiri ya wagonjwa hivyo acha woga
 
Wanawake wa kiswahili hao
 
Chaaa ela ndogo ivo ndo Umekuja adi kuifungulia uzi

Zidisha bidii za maisha na upunguze uchoyo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…