Wakuu Kudate na namba A inahitaj sana Moyo Jana niliombwa Elfu tatu

Wakuu Kudate na namba A inahitaj sana Moyo Jana niliombwa Elfu tatu

Aisee hata sijaelewa hata kaandika nini, mimi nikishaona mtu anajaribu kuandika lugha inayofanania na kiswahili halafu kaweka na xXx huwa nasitisha mawasiliano🐒
 
Kwa jinsi ninavyochukia mtu anapoandika x badala ya s sina hata cha kuandika, nimekosa cha kuandika.
 
Katika harakati zangu za kuuza Ubuyu GHAFLA nikaomba namba ya Dada mmoja hivi she has 24 years na Ni single Mother. Mtoto wake amemtupia Mama yake huku yeye akipanga Chumba Maeneo ya Gongo la Mboto.


To be honest Ilikuwa Ni usiku nilivyomuona I was very interested with her Na ndipo nikaomba Namba ake.

hakusita nipa namba
baada ya hapo tuliagana yeye Akashuka buza Mimi nikaenda hadi home Temeke .
After two days nilimcheki then yeye Mwenyewe akaanza jitongozesha . So alinambia kaumizwa sana na Mapenzi so anahitaji Mtu was kumfuta Machozi.

Mimi nilimpa moyo na Tukaanza kudate.

Sasa huyu demu kiufupi nilimuomba Appointment ili tuonane coz aliniambia anafanya biashara za Mnadani honestly Mimi Mwenyewe nauza Ubuyu so niliona wazi hapa nimepata mtu makini aambaye tupo ktk jahazi moja tukielekea Pemba.


Sasa to cut the story
Mzinga wa kwanza. Kabisa aliniomba elf 16k ili Asuke nikaamua mtolea nje sababu ya kumnyima nilimwambia sikufahamu vizuri so siwez kukutumia hiyo pesa kwa sasa hadi tuonane . Akasema sawa

So jumapili nilienda kwake tukaonana nikampa buku 5 ya chakula na hatujafanya chochote .

Sasa Cha Ajabu Jana kaniomba buku 03 eti Hana hela ya kula so nikajiuliza maswali hivi huyu demu anadai yeye Biashara inamlipa vizuri hadi hatamani kuajiriwa so how comes aniombe hela ya kula buku tatu .

Kiukweli sijamtumia hadi sahv

Funzo
Kama unataka Mwanamke usitafute single Mother number A ni hatari Bora tuendelee na namba D zetu 22 kushuka chini kuliko namba A ambao most of them hawana Huruma wapo tiyari kuongea uongo ili wapate pesa na kusahau kuwa Love is progress.


I dedicate this thread to All Youths to find out Number D as to reach their goals.
😎

View attachment 2223382
𝙳𝚎𝚖𝚞 𝚠𝚊 𝚑𝚒𝚟𝚢𝚘 𝚔𝚒𝚕𝚊 𝚑𝚔𝚒𝚔𝚞𝚘𝚖𝚋𝚊 𝚎𝚕𝚊 𝚞𝚗𝚊𝚖𝚐𝚘𝚗𝚐𝚊 𝚞𝚗𝚊𝚝𝚞𝚖𝚒𝚊 𝚞𝚣𝚊𝚒𝚏𝚞 𝚠𝚊𝚔𝚎 𝚔𝚞𝚏𝚊𝚗𝚢𝚊 𝚗𝚊𝚎 𝚖𝚊𝚙𝚎𝚗𝚣 𝚋𝚊𝚌
 
Wanaume hua tunaongeaga tu, Eti ukiona X kwenye chating yake unatupa mbali... Sisi na tamaa zetu za kuku, herufi X ikukimbize??... Mimi kama mimi wanaoandika X badala ya S, ninao wengi sana na nakula tu na maandishi yao hayanitishi... Wanaume mlio andika kuwa mwanamke mwenye matumizi ya X mnamuacha, ni waongo, wanajisemesha tu apa Jf, nyapafu
 
Xikiliza hakuna mahuxiano kati ya yeye kukuomba hela na kuwa xingle mother hilo la kwanza.!

La pili, hakupendi, anakuchukulia wewe kama chanzo cha mapato kutokana na hali yake ngumu kiuchumi.
 
Wanaume hua tunaongeaga tu, Eti ukiona X kwenye chating yake unatupa mbali... Sisi na tamaa zetu za kuku, herufi X ikukimbize??... Mimi kama mimi wanaoandika X badala ya S, ninao wengi sana na nakula tu na maandishi yao hayanitishi... Wanaume mlio andika kuwa mwanamke mwenye matumizi ya X mnamuacha, ni waongo, wanajisemesha tu apa Jf, nyapafu
Rafiki wewe hutaki unafiki [emoji23][emoji23] safi.
 
Mzee unaombwa buku unakuja kumsema Edda Mkama mitandaoni kweli huo nduo ustaarabu uliofunzwa na mama yako? Kuita binadam mwenzio namba D kisa umri ndio adabu uliyofunzwa na baba yako? Kua mstaarabu mkuu.
 
Mkuu usitoe Pesa kizembe hata 500 ni nyingi wanao kubeza achana nao.
Fanya kitu kutokana na kipato chako
 
Hahaha. Vuamilia kawaida tu. Mimi jana demu kaniomba elfu tatu na ndio siku ya kwanza kumtongoza kwenye simu. Nikamwambia tukutane sehemu kwenye uchochoro fulani, nikafika Nikampa kwanza hela, ile kumpa akatimua mbio anasema hawezi kukaa, na hajibu hata message tena. Nilishangaa tu.
 
Back
Top Bottom