Wakuu Kudate na namba A inahitaj sana Moyo Jana niliombwa Elfu tatu

Wakuu Kudate na namba A inahitaj sana Moyo Jana niliombwa Elfu tatu

Yan 3K ndy uje na uzi......

Mm ndy maana naomba hela kubwa kubwa tu...
 
Mxoxi ndo Msosi?
Kwa huo mwandiko tu uyo demu kwangu amesha kua disqualified
 
Ukikutana na mtoto wa kike/kiume halafu akukuambia eti
" nimeumizwa sana na mapenzi, na blaa blaaa kibao ... Nahitaji mtu wa kunifuta machozi"

Kama una roho nyepesi kimbia hilo ni bomu, kama we ni mtaalamu kuwa makini linaweza kukulipukia.

Mtu huwa anajifuta machozi mwenyewe.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kiukweli toka nijiunge Jf sijaona mwanaumwe wa ajabu kama huyu mdada ukidate na huyu muuza ubuyu utakufa kwa presha
 
Xaxa boxi leo xn ela ya kula .. nfanyie wepexi wa buku 2 eee lkn ukixhanixaidia naomba uxinianike mpk xura yng, wala uxije xema humu jf maana wadau wa huku jau xn.. wana mineno balaa 😣
Muandiko huo aisee unanipa tabu kusoma... nitakupa buku 3 na kipaza sauti...

Wadau wa jf kama Mabantu... 😎😎
 
Muandiko huo aisee unanipa tabu kusoma... nitakupa buku 3 na kipaza sauti...

Wadau wa jf kama Mabantu... 😎😎
Jitahidi bana wee 🤣🤣🤣

Kwahiyo ukiamka utanipea hiyo buku3

Kuhusu kipaza sauti na mabantu me mwenyewe Mwajuma 🤪🤪 hainishtui
 
Jitahidi bana wee 🤣🤣🤣

Kwahiyo ukiamka utanipea hiyo buku3

Kuhusu kipaza sauti na mabantu me mwenyewe Mwajuma 🤪🤪 hainishtui
🙂🙂
Kuna dili nalisikilizikia hapa likikiti nitakupa buku3 na mia nne...
mia utajiongeza mwenyewe

Kwa sasa nitakupa kipaza sauti tu... unitendee unyama...
 
Back
Top Bottom