Wakuu Kudate na namba A inahitaj sana Moyo Jana niliombwa Elfu tatu

Wakuu Kudate na namba A inahitaj sana Moyo Jana niliombwa Elfu tatu

Kutoka kimapenzi na kijana inahitaji uwe na moyo wa chuma, kwanza hawana siri anaweza kukuanika popote na kuweka ya sirini wazi.

Ona kijana alivyomuanika mdada hadharani.

Wadada ifike hatua mjue kutafuta wanaume waliokomaa na sio vijana maana mtafedheheshwa.
Kisa elfu 3, Kweli zinaa na haramu na ni hatari kwa Afya zetu PIA
 
Wewe na yeye nyote mpo sawa tu.
Xa-sasa
Ahsuhui-asubuhi


Sijaiona sababu ya kuja kumfungulia huyo mwanamke uzi huku jf mbaya zaidi na kuiweka picha Yake.hufai kuwa mwanaume wewe jamaa kabisa..

Ulishindwa kumwambia sina au ukamkalia kimya?hujawai kumsaidia mtu njiani usiyemsaidia zaidi ya hiyo pesa uliyoombwa?
Unaroho mbaya sana mkuu.wewe fukara wapesa na roho pia.kwaufupi wewe ni mchoyo

Mpuuzi sana wewe mleta uzi
 
Duh buku 3 imekufanya uandike yote hayo na picha juu, Na jina la mhusika kabisa, Edda mkama
 
Kutoka kimapenzi na kijana inahitaji uwe na moyo wa chuma, kwanza hawana siri anaweza kukuanika popote na kuweka ya sirini wazi.

Ona kijana alivyomuanika mdada hadharani.

Wadada ifike hatua mjue kutafuta wanaume waliokomaa na sio vijana maana mtafedheheshwa.
Ni kweli aisee,

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Katika harakati zangu za kuuza Ubuyu GHAFLA nikaomba namba ya Dada mmoja hivi she has 24 years na Ni single Mother. Mtoto wake amemtupia Mama yake huku yeye akipanga Chumba Maeneo ya Gongo la Mboto.


To be honest Ilikuwa Ni usiku nilivyomuona I was very interested with her Na ndipo nikaomba Namba ake.

hakusita nipa namba
baada ya hapo tuliagana yeye Akashuka buza Mimi nikaenda hadi home Temeke .
After two days nilimcheki then yeye Mwenyewe akaanza jitongozesha . So alinambia kaumizwa sana na Mapenzi so anahitaji Mtu was kumfuta Machozi.

Mimi nilimpa moyo na Tukaanza kudate.

Sasa huyu demu kiufupi nilimuomba Appointment ili tuonane coz aliniambia anafanya biashara za Mnadani honestly Mimi Mwenyewe nauza Ubuyu so niliona wazi hapa nimepata mtu makini aambaye tupo ktk jahazi moja tukielekea Pemba.


Sasa to cut the story
Mzinga wa kwanza. Kabisa aliniomba elf 16k ili Asuke nikaamua mtolea nje sababu ya kumnyima nilimwambia sikufahamu vizuri so siwez kukutumia hiyo pesa kwa sasa hadi tuonane . Akasema sawa

So jumapili nilienda kwake tukaonana nikampa buku 5 ya chakula na hatujafanya chochote .

Sasa Cha Ajabu Jana kaniomba buku 03 eti Hana hela ya kula so nikajiuliza maswali hivi huyu demu anadai yeye Biashara inamlipa vizuri hadi hatamani kuajiriwa so how comes aniombe hela ya kula buku tatu .

Kiukweli sijamtumia hadi sahv

Funzo
Kama unataka Mwanamke usitafute single Mother number A ni hatari Bora tuendelee na namba D zetu 22 kushuka chini kuliko namba A ambao most of them hawana Huruma wapo tiyari kuongea uongo ili wapate pesa na kusahau kuwa Love is progress.


I dedicate this thread to All Youths to find out Number D as to reach their goals.
[emoji41]

View attachment 2223382

View attachment 2223394
We ushaona kabisa anaandika xaxaxaxaxa achana nae
 
Mkuu fanya unirushie namba yake pm!

Nipo juu ya mawe lakini buku 3 ipo ndani uwezo wangu.
 
Kutoka kimapenzi na kijana inahitaji uwe na moyo wa chuma, kwanza hawana siri anaweza kukuanika popote na kuweka ya sirini wazi.

Ona kijana alivyomuanika mdada hadharani.

Wadada ifike hatua mjue kutafuta wanaume waliokomaa na sio vijana maana mtafedheheshwa.
Nakazia.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mkuu hebu toa hiyo picha sio vizuri kuweka picha yamtu bila ridhaa yake tafadhali mode hebu ondoeni hiyo km mtu anamjua rahisi kumtambua.

Ww unaombwa ela ndogo unamuanika mtu fala kweli ww demu km humtaki piga chini endelea naharakati zako.
 
Katika harakati zangu za kuuza Ubuyu GHAFLA nikaomba namba ya Dada mmoja hivi she has 24 years na Ni single Mother. Mtoto wake amemtupia Mama yake huku yeye akipanga Chumba Maeneo ya Gongo la Mboto.


To be honest Ilikuwa Ni usiku nilivyomuona I was very interested with her Na ndipo nikaomba Namba ake.

hakusita nipa namba
baada ya hapo tuliagana yeye Akashuka buza Mimi nikaenda hadi home Temeke .
After two days nilimcheki then yeye Mwenyewe akaanza jitongozesha . So alinambia kaumizwa sana na Mapenzi so anahitaji Mtu was kumfuta Machozi.

Mimi nilimpa moyo na Tukaanza kudate.

Sasa huyu demu kiufupi nilimuomba Appointment ili tuonane coz aliniambia anafanya biashara za Mnadani honestly Mimi Mwenyewe nauza Ubuyu so niliona wazi hapa nimepata mtu makini aambaye tupo ktk jahazi moja tukielekea Pemba.


Sasa to cut the story
Mzinga wa kwanza. Kabisa aliniomba elf 16k ili Asuke nikaamua mtolea nje sababu ya kumnyima nilimwambia sikufahamu vizuri so siwez kukutumia hiyo pesa kwa sasa hadi tuonane . Akasema sawa

So jumapili nilienda kwake tukaonana nikampa buku 5 ya chakula na hatujafanya chochote .

Sasa Cha Ajabu Jana kaniomba buku 03 eti Hana hela ya kula so nikajiuliza maswali hivi huyu demu anadai yeye Biashara inamlipa vizuri hadi hatamani kuajiriwa so how comes aniombe hela ya kula buku tatu .

Kiukweli sijamtumia hadi sahv

Funzo
Kama unataka Mwanamke usitafute single Mother number A ni hatari Bora tuendelee na namba D zetu 22 kushuka chini kuliko namba A ambao most of them hawana Huruma wapo tiyari kuongea uongo ili wapate pesa na kusahau kuwa Love is progress.


I dedicate this thread to All Youths to find out Number D as to reach their goals.
😎

View attachment 2223382

View attachment 2223394
Binafsi nikiwa na pesa kuna kiasi cha pesa natoa bila kunung'unika
 
Back
Top Bottom