Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
NoSo ulimwacha yule ili umpate huyu
Mtu akitumia x nashindwa hata kuendelea kusomaUna moyo wa uvumilivu,yaani mtu anaetumia x badala ya s aisee naonaga kinyaa.
Sent using Jamii Forums mobile app
Jamaa yupo sahihi kufanya hivo! sio kwamba anashindwa hapana mtoto wa kiume mara nyingi huwa tuna long term plan sasa ukiona demu ameanza kuomba vipesa kidog kidogo kwa visingizio vya njaa sijui mara nini..Hakuna love 100% labda kama mtu anataka kupiga na kusepa hapo ndo atatoa toa pesa ili amvute samaki kikaangoniDuuh hujawahi hata kumpa masikini njiani?
3k unashtaki jf mkuu?
Sio sawa hii kama huna unamjibu huna maisha yanasonga
Sent from my SM-A505F using JamiiForums mobile app
Mtu aniandikie hivyo,naweza nisimjibu kabisaMtu akiandika hivyo ni kwamba atajikuta anachat peke yake. Siwezagi kuvumilia uandishi wa hovyo kama huo.
Sent using Jamii Forums mobile app
Tuvijana uti ni shida kweliNi shida kweli..wewe bado mtoto..endelea kuchezeana na hao hao namba D kula kulala wenzio..kuombwa elfu 3000 tu unaleta hapa..inavyoonekana uliingia na matarajio ya wewe kuhudumiwa.
Wadada na wakaka wengi, wanaandika hivyo,sijui ni fasheni aiseeMtu akitumia x nashindwa hata kuendelea kusoma
Na kuomba Ni kipaji
Xaxa ndo mnatuxema apa? Xixi wenyewe tukiona mnaandika s badala ya x tunaona kinyaa
hahahahaMtu akitumia x nashindwa hata kuendelea kusoma
hahahahaha
Mwanamke aliyetembea kilometers nyingiNamba A!!![emoji849]hapo umeniacha
xawa nimekuelewa xana mkuu....ngoja nile mxoxi hapaUna moyo wa uvumilivu,yaani mtu anaetumia x badala ya s aisee naonaga kinyaa.
Sent using Jamii Forums mobile app