Financial Analyst
JF-Expert Member
- Nov 27, 2017
- 1,849
- 3,506
- Thread starter
- #21
Ni xpensive, right?Design za Hivi hazitaki mtu anatejenga kusevu gharama,utageuka kichekesho[emoji4]
Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ni xpensive, right?Design za Hivi hazitaki mtu anatejenga kusevu gharama,utageuka kichekesho[emoji4]
Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
Iliijulikana kama Maputo style.Style ya zamani hiyo
Is it more expensive than a normal design, au gharama sio za kuchangamka?Hii style imeanza kurudi imeboreshwa kutoka style ya zamani.
Inaitwa Sloping Roof House Design
Jirani yangu Salasala amejenga kama hiyo.
Hii inahitaji ufanye kazi na kampuni makini ya ujenzi wanaojua kufanya landscaping ndio itanoga
Na angalau uwe na kiwanja kikubwa
Ahsante kwa elaboration yako mtaalam.Iliijulikana kama Maputo style.
1. Kipindi cha joto hutaipenda.
2. Paa lake ni rahisi sana kuezuliwa na upepo mkali/kimbunga.
3. Ni vigumu kuzuia au kupunguza changamoto ya kelele za matone ya mvua hata ukiweka ceiling
4. Paa linatiririsha maji ya mvua upande mmoja kitu ambacho kama unapenda kuvuna maji ya mvua hutapata mengi
5. Wadudu hatari e.g. nyuki huingia kirahisi na kujenga
Faida:
1. Paa linatumia bati,misumari na mbao chache sana.
2. Ni rahisi sana kufanya usafi juu ya paa i.e. kuondoa takataka ziletwazo na upepo
3. Style hiyo haina complications za kitaalam e.g. Kuta zake kuhusiana na paa litakavyonekana au mkao wa paa.
4. Ni mujarabu sana kwa anayetumia solar panels kwani utaziweka juu ya paa na hivyo sio rahisi kuibiwa.
5. Ni nzuri sana kwenye maeneo yanayokumbwa na tetemeko la ardhi mara kwa mara
Financial AnalystIliijulikana kama Maputo style.
1. Kipindi cha joto hutaipenda.
2. Paa lake ni rahisi sana kuezuliwa na upepo mkali/kimbunga.
3. Ni vigumu kuzuia au kupunguza changamoto ya kelele za matone ya mvua hata ukiweka ceiling
4. Paa linatiririsha maji ya mvua upande mmoja kitu ambacho kama unapenda kuvuna maji ya mvua hutapata mengi
5. Wadudu hatari e.g. nyuki huingia kirahisi na kujenga
Faida:
1. Paa linatumia bati,misumari na mbao chache sana.
2. Ni rahisi sana kufanya usafi juu ya paa i.e. kuondoa takataka ziletwazo na upepo
3. Style hiyo haina complications za kitaalam e.g. Kuta zake kuhusiana na paa litakavyonekana au mkao wa paa.
4. Ni mujarabu sana kwa anayetumia solar panels kwani utaziweka juu ya paa na hivyo sio rahisi kuibiwa.
5. Ni nzuri sana kwenye maeneo yanayokumbwa na tetemeko la ardhi mara kwa mara
Bora hivo,nyumba utadhani ni Banda la pigs kuzuia wasiruke nje ya Banda.🤐Mdomo komaNyumba mbona kama ofisi au madarasa?
Hii haivuji sababu bati linamwaga maji chini moja kwa mojaAhsante kwa elaboration yako mtaalam.
Boss hapo kwenye kuta kukutana paa, kutafanyika nini ili kutengeneza kitu bora.
Je haina complications za kuvuja kama ilivyo contemporary houses?
ukiwa Mlamleni ukapiga hiyo bila mbembwe, wanakuambia 'mgongo wa tembo' umepitwa na wakatiSlope iliyochangamka.
FinishingIs it more expensive than a normal design, au gharama sio za kuchangamka?
Mbwembwe a.k.a finishing ndio kila kitu kwa design hiiukiwa Mlamleni ukapiga hiyo bila mbembwe, wanakuambia 'mgongo wa tembo' umepitwa na wakati
ukija Masaki jengo lile lile, unaambiwa ni la kisasa
Wewe kijana acha dharau. Au wewe umezoea nyumba ambazo breki ya kwanza unaamshwa na Baba mwenye nyumbaNyumba mbona kama ofisi au madarasa?
Sure thingHii haivuji sababu bati linamwaga maji chini moja kwa moja
Hahaahahhukiwa Mlamleni ukapiga hiyo bila mbembwe, wanakuambia 'mgongo wa tembo' umepitwa na wakati
ukija Masaki jengo lile lile, unaambiwa ni la kisasa
Sawa mwambie mama yako aniongozeeUna pesa ya kujenga huo mjengo
Hio design ya nyumba tuliwahi peleka milango Goba ni kali ikiwa na space, mwamba alitumia interlocking bricksDesign za Hivi hazitaki mtu anatejenga kusevu gharama,utageuka kichekesho[emoji4]
Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app