Wakuu Kuna hii style mpya ya nyumba. Tusaidieni ufafanuzi

Wakuu Kuna hii style mpya ya nyumba. Tusaidieni ufafanuzi

Usje jaribu kujenga upuuz huo Kuna jmaaa kajenga Happ ilazo extension ameikikbiaaa Ni mbya mno usijaribu ndugu yangu kimbia mita elf tatu

Kmaa unabisha njoo ddm hapa nikuonesh au Kama upo njjoo nikuelekeze iliko ukuatizame

Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
 
Usje jaribu kujenga upuuz huo Kuna jmaaa kajenga Happ ilazo extension ameikikbiaaa Ni mbya mno usijaribu ndugu yangu kimbia mita elf tatu

Kmaa unabisha njoo ddm hapa nikuonesh au Kama upo njjoo nikuelekeze iliko ukuatizame

Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
Hiv mnaposema ubaya wake inakuwa nini? Ilazo huko ni maji matupu
Mbona uswahilin kuna nyumba mtu anakosa hela anachokifanya ni kulaza bati juu analiwekea slope yan kwenye ile lenta ya mwisho anaongeza kidogo futi moja upande mmoja anapiga bati si sawa sawa na hio style.sema akitaka kujenga kama hivo mbona ni easy tu
 
Hiv mnaposema ubaya wake inakuwa nini? Ilazo huko ni maji matupu
Mbona uswahilin kuna nyumba mtu anakosa hela anachokifanya ni kulaza bati juu analiwekea slope yan kwenye ile lenta ya mwisho anaongeza kidogo futi moja upande mmoja anapiga bati si sawa sawa na hio style.sema akitaka kujenga kama hivo mbona ni easy tu
Hata mimi nimewauliza wanisaidie kujua ubaya wake ni nini??
 
Back
Top Bottom