dr namugari
JF-Expert Member
- Nov 19, 2022
- 10,466
- 18,206
Ahsante .Usje jaribu kujenga upuuz huo Kuna jmaaa kajenga Happ ilazo extension ameikikbiaaa Ni mbya mno usijaribu ndugu yangu kimbia mita elf tatu
Kmaa unabisha njoo ddm hapa nikuonesh au Kama upo njjoo nikuelekeze iliko ukuatizame
Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
Hiv mnaposema ubaya wake inakuwa nini? Ilazo huko ni maji matupuUsje jaribu kujenga upuuz huo Kuna jmaaa kajenga Happ ilazo extension ameikikbiaaa Ni mbya mno usijaribu ndugu yangu kimbia mita elf tatu
Kmaa unabisha njoo ddm hapa nikuonesh au Kama upo njjoo nikuelekeze iliko ukuatizame
Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
Hata mimi nimewauliza wanisaidie kujua ubaya wake ni nini??Hiv mnaposema ubaya wake inakuwa nini? Ilazo huko ni maji matupu
Mbona uswahilin kuna nyumba mtu anakosa hela anachokifanya ni kulaza bati juu analiwekea slope yan kwenye ile lenta ya mwisho anaongeza kidogo futi moja upande mmoja anapiga bati si sawa sawa na hio style.sema akitaka kujenga kama hivo mbona ni easy tu
Umeipenda jenga, asikuambie mtu ya zamani. Ila inafaa mikoa isiyo na joto mana kuna sehemu bati lipo chini. Pia fundi ajenge vizuri, mana upepo ukikolea utafumua lote litapaa kama ndege.Nimetokea kuipenda san
Likiwa chini joto kali, mijengo hiyo inafaa mikoa ya baridi. Pia upepo likijengwa ovyo, unafunua loteHata mimi nimewauliza wanisaidie kujua ubaya wake ni nini??
hakuna style mpya ya ujenzi duniani
Kutoka mpangilio wa floor plan,mpaka use of materials,na proximity ya openings
Hizi nyumba zilishajengwa zaman n nzur hazina shida zinapunguza gharama ila kuna zile pacha wa hiz tempolary utafurah kama utakuw na bajet nzur na ukapat fund mzur ila ukipata makanjnj utalia