Bora hata wewe umejiripua kuongea! !!!
Wengine tunaishia kuangalia tu Avatar tu.
Wapo kama 3 hivi yaani hata kama sifahamu wanafananaje ila nawamezea mate tu.
Hahaaaa, noma sana hiyo,vipi uliweza kuikataa hiyo offer kweli?[emoji30]Mimi kama dakika 20 zilizopita napita mtaani kwetu dada mmoja kaniita kwenye grocery moja akaninong'oneza una elfu kumi hapo tukatomb...ne, mkuu dunia hii ya Leo ni mwendo kasi.
Upo kundi lipi hapo mkuu, nami niwe miongoni mwa wafurikao pm kwako[emoji3] [emoji3]wavulana wanaomiliki coins ndio hua na makelele ila wanaume wanaomiliki fedha hua wanarelax tuu na pm zinafulika...
Yaah! Nimejipa moyo sababu ni mke wa mtu angekuwa kuku wa kienyeji ningemtafunaHahaaaa, noma sana hiyo,vipi uliweza kuikataa hiyo offer kweli?[emoji30]
mkuu mimi bado namiliki coins nikifikia levo za kumiliki fedha nitakustuaUpo kundi lipi hapo mkuu, nami niwe miongoni mwa wafurikao pm kwako[emoji3] [emoji3]
Ndo mana nawaogopaga sana nyi viumbe...ni wakatili sana mkiamuaKabisaa nakwambia ukweli rafiki mwanamke kukupenda bahati
But kumuonea huruma huko si ndo kunaweza kukufanya umpende....or not possibleHaumpendi kwa sababu umeamua kumuonea huruma
Ahsante kwa kunipenda
But kumuonea huruma huko si ndo kunaweza kukufanya umpende....or not possible
DuuuhhhhhHii inategemea na mwanamke mwenyewe ukimtongoza akakupenda tu piah kitu kingine kinachorahisisha mwanamke akupende bila pesaa ni kwamba tunapenda sana kupendwa na kusifiwa kupewa ushaur kumjali muda mwingi unashangaa anazimika kiukweli kwako.
Japo siyo rahisi ila mwanamke anapenda mwenyewe jaman unaweza mfanyia vyote na asikupende hivyo ni kama bahat tu.
Duuuhhhhh
Nakuona tuUpo kundi lipi hapo mkuu, nami niwe miongoni mwa wafurikao pm kwako[emoji3] [emoji3]
best hata mim utanitapeli kweliMm ndiyo wanaume tunaowatoza fedha hatuna shida nao ni kwa ajili ya kujifurahisha na kuwatapeli
kwa kuwa umempendaUnaweza kuta napigwa mashine buree kabisaa
maradhi mku vipNimemwambia nisubiri hapahapa ila najilaumu maana ana bonge la msambwanda!
dada demiss nisadie buku nikabetieUtaona tu vizinga vingi vya pesaa piah naweza jifanya mstaarabu Nina plan nying nzur za maisha unaona huyu mke nakuja kukupiga mzinga mmoja huo balaaa kiufupi huwez kugundua ni wajanja sana wanawake tunajifanya kama vile wakuhurumiwa kumbe mafisi
wa fedha za vochaUpo kundi lipi hapo mkuu, nami niwe miongoni mwa wafurikao pm kwako[emoji3] [emoji3]