Wakuu kuna mwanamke nimempenda humu Jukwaani

Wakuu kuna mwanamke nimempenda humu Jukwaani

maisha mafupi haya mkuu kama unampenda mtu funguka


Nataman ningefuka miaka mitatu iliyopita dah bibie Fulani umenifanya nimekuwa muhuni sina cha kupoteza mtoa mada usifanye makosa kama mimi
Hahahaha wala sihitaji kufunguka mkuu
 
Utaona tu vizinga vingi vya pesaa piah naweza jifanya mstaarabu Nina plan nying nzur za maisha unaona huyu mke nakuja kukupiga mzinga mmoja huo balaaa kiufupi huwez kugundua ni wajanja sana wanawake tunajifanya kama vile wakuhurumiwa kumbe mafisi
Duuuu kumbe ndo maana wanawake mnachukiana ni kwa sababu mnajuana katika ku fake
 
ZOZAAAAA! kwanini uudhulumu moyo wako ile kitu inapenda? YOLO

Anaitwa Mzigua90

Sitaki kujua ana sura gani, ana shape gani, ana rangi gani, kabila gani, elimu gani, wala nini. Ila tu najua jinsia yake ni 'ke' kwa jinsi anavyojinasibu.

Yaani ni kitu 'natural affection' au 'natural love' tuseme.

Nimejikuta nampenda tu hata sijui nyuzi zake, wala comments zake maana sifuatilii.

Ila sitamtongoza, na yeye pia asinitongoze pls . Nimeona ni share tu na wadau !

Hv vitu hutokea sana tu.
 
Back
Top Bottom