na wewe umemzimikia mzigua nini 😀Kila mtu akimtaja crush wake, humu JF tutapigana,maana tutakutana sehemu moja watu kama wote..
Duuuu kumbe ndo maana wanawake mnachukiana ni kwa sababu mnajuana katika ku fakeUtaona tu vizinga vingi vya pesaa piah naweza jifanya mstaarabu Nina plan nying nzur za maisha unaona huyu mke nakuja kukupiga mzinga mmoja huo balaaa kiufupi huwez kugundua ni wajanja sana wanawake tunajifanya kama vile wakuhurumiwa kumbe mafisi
Anaitwa Mzigua90
Sitaki kujua ana sura gani, ana shape gani, ana rangi gani, kabila gani, elimu gani, wala nini. Ila tu najua jinsia yake ni 'ke' kwa jinsi anavyojinasibu.
Yaani ni kitu 'natural affection' au 'natural love' tuseme.
Nimejikuta nampenda tu hata sijui nyuzi zake, wala comments zake maana sifuatilii.
Ila sitamtongoza, na yeye pia asinitongoze pls . Nimeona ni share tu na wadau !
Hv vitu hutokea sana tu.
[emoji23][emoji23][emoji23]..mimi nilitoa tu angalizona wewe umemzimikia mzigua nini 😀
Hamna mku.....mm simchukui, usihofu kituDaaaa siamini Mzigua90 unakua shemeji hvi hivi....
Behaviourist mzee baba mtoto anaondoka mbele ya macho yetu hivi hivi[emoji23][emoji23]
[emoji23][emoji23][emoji23]..mimi nilitoa tu angalizo
Wewe ndo crush wangu..
dada demiss nisadie buku nikabetie
kwa kuwa umempenda