Wakuu, leo nimeongeza mpiga kura mwigine

Wakuu, leo nimeongeza mpiga kura mwigine

Nilikuwa na mahusiano na pisi kali balaa (mchepuko), kutokana na uzuri wake akawa ananipiga mizinga mara kwa mara, mpaka ikafikia nikawa navaa suruali moja kauka nikuvae.

Kutokana na uzuri wake, pamoja na mizinga aliyokuwa ananipiga; nikaamua kumuwekea mazingira abebe ujauzito wangu.

Kweli haikupita muda, kitu kikajaa; mbaya zaidi akawa bado ananibana kwenye shoo; ila siku akinipatia lazima awajibike ipasavyo.

Sasa kutokana na uzuri wake, tukawa tunavutana sana hapa na pale; mpaka ikafikia hakuna kuwasiliana. Mpaka sasa hivi nina kama miezi mitatu sina mawasiliano naye.

Sasa leo nimepumzika zangu mchana, naona simu yangu inaita; kuangalia ni namba ngeni, ikabidi nipokee.

Kuna dada akajitambulisha, mimi ni W dada yake V (mchepuko), nilikuwa nakupa taarifa V yupo hospitali, (akawa anongea huku analia), ikabidi nimbembeleze, akanyamaza.

Nikamuuliza tatizo ni nini? Akasema V anatakiwa afanyiwe 'operation' mtoto ni mkubwa ana 4kg; kwa hiyo tunahitaji sapoti kidogo.

Nikajaribu kufikiria mbwembwe za muhusika, ila nikasema kwenye kupambania uhai, huwa tunasahau yote; ingawa sikuwa na bajeti yake, ikanibidi nijibane ninavyoweza niweze kuwafanikishia.

Baada ya kama lisaa limoja na nusu hivi, akanipigia simu; amejifungua salama na mtoto ni mzuri kweli kweli, dume kama dume equation x na mama yake yuko salama.

Basi nikamshukuru mungu, na kuahidi tutakuwa bega kwa bega pale patakapotokea changamoto.

Kwa hiyo wakuu, nimeshaongeza mpiga kura mwigine; pia nashauri masista duu wapunguze mizengwe mizengwe kwenye mahusiano; panapokuwa na changamoto huwezi kujua nani atakuwa karibu.​
Mkuu,ina maana hizo 4kg alipimwa kabla ya kuzaliwa?

Enewei,
Lucas Mwaashambwa amfikishie pongezi nyingi rais kwa kufanikisha kupatikana kwa huyo mpiga kura mpya. Km yuko mbali jamaa yake wa karibu Etwege anaweza bebajukumu hilo ili salaam zifike mapema.
 
Nilikuwa na mahusiano na pisi kali balaa (mchepuko), kutokana na uzuri wake akawa ananipiga mizinga mara kwa mara, mpaka ikafikia nikawa navaa suruali moja kauka nikuvae.

Kutokana na uzuri wake, pamoja na mizinga aliyokuwa ananipiga; nikaamua kumuwekea mazingira abebe ujauzito wangu.

Kweli haikupita muda, kitu kikajaa; mbaya zaidi akawa bado ananibana kwenye shoo; ila siku akinipatia lazima awajibike ipasavyo.

Sasa kutokana na uzuri wake, tukawa tunavutana sana hapa na pale; mpaka ikafikia hakuna kuwasiliana. Mpaka sasa hivi nina kama miezi mitatu sina mawasiliano naye.

Sasa leo nimepumzika zangu mchana, naona simu yangu inaita; kuangalia ni namba ngeni, ikabidi nipokee.

Kuna dada akajitambulisha, mimi ni W dada yake V (mchepuko), nilikuwa nakupa taarifa V yupo hospitali, (akawa anongea huku analia), ikabidi nimbembeleze, akanyamaza.

Nikamuuliza tatizo ni nini? Akasema V anatakiwa afanyiwe 'operation' mtoto ni mkubwa ana 4kg; kwa hiyo tunahitaji sapoti kidogo.

Nikajaribu kufikiria mbwembwe za muhusika, ila nikasema kwenye kupambania uhai, huwa tunasahau yote; ingawa sikuwa na bajeti yake, ikanibidi nijibane ninavyoweza niweze kuwafanikishia.

Baada ya kama lisaa limoja na nusu hivi, akanipigia simu; amejifungua salama na mtoto ni mzuri kweli kweli, dume kama dume equation x na mama yake yuko salama.

Basi nikamshukuru mungu, na kuahidi tutakuwa bega kwa bega pale patakapotokea changamoto.

Kwa hiyo wakuu, nimeshaongeza mpiga kura mwigine; pia nashauri masista duu wapunguze mizengwe mizengwe kwenye mahusiano; panapokuwa na changamoto huwezi kujua nani atakuwa karibu.​
Hongera sana. Hata CCM tunashukuru kwa kutuletea mwanachama mpya. Nitawazadia wewe na mama watoto wako nakala za katiba ya CCM
 
Kila mubaba jeifu ana pisi kali...
Dunia ina pisi nyingi za kila namna; ukikosea kuchagua huku una macho mawili, akili timamu n.k; huo utakuwa ni uzembe wako.
Kumbuka tunaishi mara moja; kwa hiyo kuwa na kifaa kizuri ni muhimu pia.
 
Hongera kwa kujali...

Endeleza kumtunza mwanao...

Pokea maua yako [emoji255][emoji255][emoji255]
 
Back
Top Bottom