Village-in
JF-Expert Member
- Aug 30, 2022
- 2,184
- 4,517
Wapi ambalo hakuna kilio kwa Tz ya sasa? Hao wasomi wapi wameipekeka nchi mpaka sasa?. Unafikiri mkuu anabarisha materio ya viongozi,anapenda? VilioApelekwe garage alafu baadae mnakuja kulia umu oooh hakuna mafundi gari wazuri bongo kumbe wenyewe ndio mnawapeleka akifeli shule
FIT FOR FIGHT FOR FOOD FOR FOUR yearsIzo F ndo kapiga FEED FOR FOOD FOR FOUR YEARS FINAL?
Hivi inawezekana mtoto aliyefeli mtihani wa kidato cha nne kurudia kidato cha tatu ? vipi kuhusu namba ya mtihani wa kidato cha pili .... mimi najua habari ya kureseat au kufanya QT badae PC, huo utaratibu wa siku hizi wa kurudia kidato cha tatu Upoje ?Arudie form3 alafu alifika f4 aniandikishe kama private candidate...hapo kama atakua serious anaweza ondoka na kitu lakini akisema akarudie f4 atakula zero tena
Sent from my SM-A035F using JamiiForums mobile app
kwahio gereji mnapeleka wajinga?ndio Mana wanaharibu magari.shenziKwa nini hakutegemea? Nani alimfanyia paper? Mpeleke gereji
Aende Jkt tuWakuu mdogo wangu kapata div 4 ya 33.
Ana ufaulu huu hapa kisw C, hist,F civ F, geo F, bio F, eng F, math F, Nishaurini anafaa kusomea nini au ni sehemu gani itakayomfaa maana hapa natafakari na yeye kachanganyikiwa maana alitamani akasomee clinical officer but ufaulu haumruhusu nipeni ushauri wakuu ana stress Sana hakutegemea hayo matokeo.
[emoji120][emoji120][emoji120][emoji120]
Magari gani wameharibu we matako?. Hapo hata toroli hunakwahio gereji mnapeleka wajinga?ndio Mana wanaharibu magari.shenzi
wee kima kwani kumiliki gari Kuna gharama gani? njoo home nikushike upaja huo ili nikupe kuga yakuzugia mjini..Magari gani wameharibu we matako?. Hapo hata toroli huna
hapo atasoma nini? maana hata cheti inatakiwa uwe na angalau D nne. mrudishe aanze form three kama kuna uwezekano huo na awe serious na shuleWakuu mdogo wangu kapata div 4 ya 33.
Ana ufaulu huu hapa kisw C, hist,F civ F, geo F, bio F, eng F, math F, Nishaurini anafaa kusomea nini au ni sehemu gani itakayomfaa maana hapa natafakari na yeye kachanganyikiwa maana alitamani akasomee clinical officer but ufaulu haumruhusu nipeni ushauri wakuu ana stress Sana hakutegemea hayo matokeo.
ππππ
Pole mkuu wewe na mdogo wako, ila Kwa matokeo hayo sidhani kama ni kweli alikuwa anataka kusomea clinical officer maana inaonekana hajui ata vigezo vya kusoma clinical officerWakuu mdogo wangu kapata div 4 ya 33.
Ana ufaulu huu hapa kisw C, hist,F civ F, geo F, bio F, eng F, math F, Nishaurini anafaa kusomea nini au ni sehemu gani itakayomfaa maana hapa natafakari na yeye kachanganyikiwa maana alitamani akasomee clinical officer but ufaulu haumruhusu nipeni ushauri wakuu ana stress Sana hakutegemea hayo matokeo.
[emoji120][emoji120][emoji120][emoji120]
π€£π€£π€£π€£Yaani amefaulu kiswahili tuWakuu mdogo wangu kapata div 4 ya 33.
Ana ufaulu huu hapa kisw C, hist,F civ F, geo F, bio F, eng F, math F, Nishaurini anafaa kusomea nini au ni sehemu gani itakayomfaa maana hapa natafakari na yeye kachanganyikiwa maana alitamani akasomee clinical officer but ufaulu haumruhusu nipeni ushauri wakuu ana stress Sana hakutegemea hayo matokeo.
ππππ
Dah[emoji23]Uyo kilaza hakua serious kabisa shuleni,
Huwez kusema unapata iv ya 33 afu useme hukutegemea kufeli, ulitegemea kufaulu marks za kusomea utabibu[emoji1787]