Village-in
JF-Expert Member
- Aug 30, 2022
- 2,184
- 4,517
Wapi ambalo hakuna kilio kwa Tz ya sasa? Hao wasomi wapi wameipekeka nchi mpaka sasa?. Unafikiri mkuu anabarisha materio ya viongozi,anapenda? VilioApelekwe garage alafu baadae mnakuja kulia umu oooh hakuna mafundi gari wazuri bongo kumbe wenyewe ndio mnawapeleka akifeli shule