Watu hawana knowledge ya H.I.V lakini wanajibu tu, ili kuweza kumuambukiza mtu inategemea na wingi wa viral zilizopo mwilini, mtu aliyeambukizwa leo sio rahisi sana kumuambukiza mwingine leo leo kutokana na uchache wa viral waliopo mwilini, pia rapid test inaweza onyesha mtu aliyeambukizwa ndani ya mwezi mmoja,
Ushauri Tumia kondom kama hamjapima na kwa wale wenye HIV watumie dawa za kufubaza virus ili kujenga Afya zao..