kibobori mahoro
JF-Expert Member
- Dec 12, 2022
- 7,452
- 10,785
JF ni jamii ya upendo, tutakuombea, hata Kiranga atakuombea.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ni op ya kawaida, kwa umahiri wa Madaktari wa Hiyo fani Hapa nchini wakiongozwa na Mwenyezi Mungu mwambie shemeji aandae tu supu ukitoka theatre uikute maana utatoka Salama salmini. Kila la heriHabari za jioni wakuu,.
Nimeogopa isije nikashindwa kurudi tena baada ya muda.
Mungu akipenda kesho nitakua nikifanyiwa upasuaji wa Jicho pamoja na sikio. Mniombee nirudi nikiwa salama kama mwanzo.
Sikua napenda kufanya hivi ila ndio last option niliyobakiwa nayo Baada ya kujaribu na kubadilishiwa dawa for almost miezi miwili. Madaktari wamesugget nifanye hiyo.
Mniombee sio tu nitoke salama. Pia niweze kupona nisike na kuona kama mwanzo[emoji120][emoji120][emoji120]
Matabibu watoe matibabu mema,
Mleta uzi ametaka maombezi kidogo..😄Matabibu watoe matibabu mema,
Ila Mungu amponye ndugu yetu kupitia mikono ya matabibu.
Aamin
Ukiona Amen mwishoni, ujue maombi tayari hapo, muhimu Imani.Mleta uzi ametaka maombezi kidogo..😄
Umshushie maombi kidogo.
Mungu atakusimamia utapona vizuri tu 🙏🙏🙏Habari za jioni wakuu,.
Nimeogopa isije nikashindwa kurudi tena baada ya muda.
Mungu akipenda kesho nitakua nikifanyiwa upasuaji wa Jicho pamoja na sikio. Mniombee nirudi nikiwa salama kama mwanzo.
Sikua napenda kufanya hivi ila ndio last option niliyobakiwa nayo Baada ya kujaribu na kubadilishiwa dawa for almost miezi miwili. Madaktari wamesugget nifanye hiyo.
Mniombee sio tu nitoke salama. Pia niweze kupona nisike na kuona kama mwanzo🙏🙏🙏
Mungu akupe nguvu upone mapema urejee ukiwa afya njemaHabari za jioni wakuu,.
Nimeogopa isije nikashindwa kurudi tena baada ya muda.
Mungu akipenda kesho nitakua nikifanyiwa upasuaji wa Jicho pamoja na sikio. Mniombee nirudi nikiwa salama kama mwanzo.
Sikua napenda kufanya hivi ila ndio last option niliyobakiwa nayo Baada ya kujaribu na kubadilishiwa dawa for almost miezi miwili. Madaktari wamesugget nifanye hiyo.
Mniombee sio tu nitoke salama. Pia niweze kupona nisike na kuona kama mwanzo🙏🙏🙏