Wakuu mniombee nafanyiwa upasuaji kesho

Wakuu mniombee nafanyiwa upasuaji kesho

Habari za jioni wakuu,.

Nimeogopa isije nikashindwa kurudi tena baada ya muda.

Mungu akipenda kesho nitakua nikifanyiwa upasuaji wa Jicho pamoja na sikio. Mniombee nirudi nikiwa salama kama mwanzo.

Sikua napenda kufanya hivi ila ndio last option niliyobakiwa nayo Baada ya kujaribu na kubadilishiwa dawa for almost miezi miwili. Madaktari wamesugget nifanye hiyo.

Mniombee sio tu nitoke salama. Pia niweze kupona nisike na kuona kama mwanzo[emoji120][emoji120][emoji120]
Ni op ya kawaida, kwa umahiri wa Madaktari wa Hiyo fani Hapa nchini wakiongozwa na Mwenyezi Mungu mwambie shemeji aandae tu supu ukitoka theatre uikute maana utatoka Salama salmini. Kila la heri
 
Mungu ni mwema naamini ulitoka salama, Mungu azidi kukuimarisha uwe mzima kama ulivyokuwa mwanzo, Amen
 
Habari za jioni wakuu,.

Nimeogopa isije nikashindwa kurudi tena baada ya muda.

Mungu akipenda kesho nitakua nikifanyiwa upasuaji wa Jicho pamoja na sikio. Mniombee nirudi nikiwa salama kama mwanzo.

Sikua napenda kufanya hivi ila ndio last option niliyobakiwa nayo Baada ya kujaribu na kubadilishiwa dawa for almost miezi miwili. Madaktari wamesugget nifanye hiyo.

Mniombee sio tu nitoke salama. Pia niweze kupona nisike na kuona kama mwanzo🙏🙏🙏
Mungu atakusimamia utapona vizuri tu 🙏🙏🙏
 
Habari za jioni wakuu,.

Nimeogopa isije nikashindwa kurudi tena baada ya muda.

Mungu akipenda kesho nitakua nikifanyiwa upasuaji wa Jicho pamoja na sikio. Mniombee nirudi nikiwa salama kama mwanzo.

Sikua napenda kufanya hivi ila ndio last option niliyobakiwa nayo Baada ya kujaribu na kubadilishiwa dawa for almost miezi miwili. Madaktari wamesugget nifanye hiyo.

Mniombee sio tu nitoke salama. Pia niweze kupona nisike na kuona kama mwanzo🙏🙏🙏
Mungu akupe nguvu upone mapema urejee ukiwa afya njema
 
Back
Top Bottom