Wakuu mniombee nafanyiwa upasuaji kesho

Wakuu mniombee nafanyiwa upasuaji kesho

Habari za jioni wakuu,.

Nimeogopa isije nikashindwa kurudi tena baada ya muda.

Mungu akipenda kesho nitakua nikifanyiwa upasuaji wa Jicho pamoja na sikio. Mniombee nirudi nikiwa salama kama mwanzo.

Sikua napenda kufanya hivi ila ndio last option niliyobakiwa nayo Baada ya kujaribu na kubadilishiwa dawa for almost miezi miwili. Madaktari wamesugget nifanye hiyo.

Mniombee sio tu nitoke salama. Pia niweze kupona nisike na kuona kama mwanzo[emoji120][emoji120][emoji120]
Nakuombea kwa Allah upone urud ukiwa mzma wa afya tele inshaallah utakuwa sawa

Sent from my OPPO A83 using JamiiForums mobile app
 
Habari za jioni wakuu,.

Nimeogopa isije nikashindwa kurudi tena baada ya muda.

Mungu akipenda kesho nitakua nikifanyiwa upasuaji wa Jicho pamoja na sikio. Mniombee nirudi nikiwa salama kama mwanzo.

Sikua napenda kufanya hivi ila ndio last option niliyobakiwa nayo Baada ya kujaribu na kubadilishiwa dawa for almost miezi miwili. Madaktari wamesugget nifanye hiyo.

Mniombee sio tu nitoke salama. Pia niweze kupona nisike na kuona kama mwanzo🙏🙏🙏
Polee saba Allah akupe wepesi utapona

Nilianza kuogopa nkahisi texd
 
Habari za jioni wakuu,.

Nimeogopa isije nikashindwa kurudi tena baada ya muda.

Mungu akipenda kesho nitakua nikifanyiwa upasuaji wa Jicho pamoja na sikio. Mniombee nirudi nikiwa salama kama mwanzo.

Sikua napenda kufanya hivi ila ndio last option niliyobakiwa nayo Baada ya kujaribu na kubadilishiwa dawa for almost miezi miwili. Madaktari wamesugget nifanye hiyo.

Mniombee sio tu nitoke salama. Pia niweze kupona nisike na kuona kama mwanzo🙏🙏🙏
Upone haraka dada
Hope operation itaenda vizuri
 
Habari za jioni wakuu,.

Nimeogopa isije nikashindwa kurudi tena baada ya muda.

Mungu akipenda kesho nitakua nikifanyiwa upasuaji wa Jicho pamoja na sikio. Mniombee nirudi nikiwa salama kama mwanzo.

Sikua napenda kufanya hivi ila ndio last option niliyobakiwa nayo Baada ya kujaribu na kubadilishiwa dawa for almost miezi miwili. Madaktari wamesugget nifanye hiyo.

Mniombee sio tu nitoke salama. Pia niweze kupona nisike na kuona kama mwanzo🙏🙏🙏
Mungu akufanyie uponyaji
 
Back
Top Bottom