Wakuu Msaada: Biashara haiendi ghafla, nifanyeje?

Wakuu Msaada: Biashara haiendi ghafla, nifanyeje?

Unavitiko eti kwenye ubongo wako,labda nini kinakufanya useme hivyo kama ni imani basi kwenye vitabu vya dini vinabainisha wazi.

Uchawi upo toka Dunia ilivyoumbwa maana nguvu inayotumika katika uchawi imetoka kwa huyo huyo Mungu maana yeye ndio chanzo cha kila kitu hapa Duniani.
Unajua kuwa mambo ya Mungu ni imani kama ulivyo uchawi, na imani ili ifanye kazi kwako lazima uiamini vinginevyo haitokuwa na athari kwako.

Mleta mada tayari kashaanza ngonjera sijui nani aliomba elfu kumi wateja wakakoma, sijui Ex alisemaje... Tayari kwenye akili yake ameshajenga picha ya uchawi, jambo ambalo ni ngumu kumwaminisha kuwa hakuna anaye mloga.
 
Biashara Zina mambo mengi, Kuna siku nimefungua tu nakuta ndani funza balaaaa, na siuzi bidhaaa kusema zimeoza!! Nauza tu vitu vya Ujenzi!!
Nilisafisha na kendelea na kazi hata hivyo sikuwa na Imani na lile tukio!!....... Mwisho wa siku nikapata ufumbuzi
Pole sana mkuu
 
weka mbili tatu , sio mgeni sana kivile , ila hii hali haikuwah kuwepo
Mm ni mvivu kuandika. Kwa ufupi sana. Kwenye biashara mchawi ni wewe mwenyewe na mentality yako. Pili unatakiwa uhue kuwa mishahara ya watu ndio chanzo kikuu cha mzunguko wa fedha kitaa. Mishahara ikitoka kila biashara inauza, chips, nguo, vyakula na huduma zingine. Muuza chips akiuza akapata pesa anakuja kununua nguo. Hivyo tarehe za mshahara zikipita hali huwa tete.

Mishahara mingi hutoka kwenye tarehe 20-30 kutegemea na taasisi na watu hufanya mtumizi ya hio pes kwenye tarehe 20 hadi tar za 5+ za mweizi unaofuata kisha pesa hupungua. Hivyo ukishusha mzigo kwenye tare za 7-18 hivi tegemea mauzo ya chini haijalishi mzigo ni mzyri kiasi gani. Zingatia uzuri wa mali haumfanyi mtu kununua ila uhitaji na uwepo wa pesa+uzuri wa ali ndivyo humfanya mtu nunue.

Mm huwa nashusha mzigo mara mbili kwa mwezi. Tarehe za 16+ nikivizia mishahara watu wakianza kupata tu mzigo mzuri uwepo na tarehe za 2+ hapo mishahara ndio huwa imepamba moto na mzigo huu hunipeleka hadi zile tarehe kudunduliza.

Lingenze kwenye bishara zangatia sana bidhaa iliyokutambulisha sokoni, hio ndio ishikirie. Tengeneza identity yako kwamba kwa flan kuna bidhaa flan uhakika, usiwe mtu wa kurukaruka na kujaribu kila bidhaa kisha unaacha.

Kuna jirani zangu wawili wanauza mitumba. Kila siku wanatuhumiana uchawi mm nipo neutral tu hivyo huwa wananiletea tuhuma. Shida ya haya mamo ukiyaamini tu, hata nguvu na akili ya ubunifu inashuka unaanza kutafuta mchawi. Bei ya bidhaa ni mchawi wa kwanza. Weka bei nzuri ili kila mtu aje kununua, wapo wale vibopa ambao wao pesa yao sio ya kuchungulia hao wakiingia huwa tunawalipua tu ila hawa wengine wauzie bei ndogo kumbuka siku hizi kila mtu anauza nguo kama sio duka basi mtandaoni.

Mm kuna jirani yangu anauza nguo bei ghari sana watu wakiingia kwangu wanakuta bei kitonga tu wanaanza kumsema. Mm naweza nikauza nguo kwa faida ya buku mbili tu. Ila watu wengi sana wanaelekezana dukani kwangu. Utaskia mteja anakuja anakuambia "unamjua flan, kanielekeza nije kwenye duka flan kuna nguo mzuri kwa bei nzuri" hicho ndio muhimu kwenye biashara yetu. Tengeneza msingi wa biashara yako kwanza kwa faida ndogo, baadae utapata faida kubwa sana baada ya kuaminika.

Mwisho kuto kuuza kwa mida wa siku 3 ni kawaida kutegemea na location uliyopo. Mm mwanzoni ilikua inanipa shida sana akilini ila baada ya kuilewa trend sina shida kabisa. Muhimu usipouza unaenda kwenye kioo unajiuliza nini shida. Hapa na namaanisha pengine umebadili bdhaa, mfano mwanzo ulikua na nguo official sasa una za disco. Ila kama mali ni ileile basi utauza. Pia kuna issue ya upepo wa pesa kitaa. Kuna muda pesa huadimika kabisa. Inaweza kupita hata wiki hivi kila mtu aanalia pesa hakuna hada boda hawapati abilia, hapo jua shida sio ww, ni lesa imeadimika. Wachumi wanajua kua BOT ndio inayo control haya mambo. Kuna muda huwa wanaamua pesa zirudi serikalini kwa sababu flaniflani, hili huna maamuzi nalo.

Biashara ni mentality yako pia, utakachokiamini kinaweza kukufanikishia. Humu kuna watu watakuambia fanya hivi fanya vile zote imani tu. Mm kuna jamaa huwa anatambeza viatu. Huwa ahaendi kuiza hadi apite dukani kwangu ili nimbariki, hio ni kila siku. Na kweli huwa nikimbariki anaenda anauza. Kuna siku hadi aliwahi niletea hela eti baraka zangu zinamsaidia, niliikataa. Jana alikuja nikambariki baada ya lisaa akatuma text hii nimeimbatanisha. Mm naamini kwenye biashara kuna watu wanahitaji watu wa kuwapa maneno ya kuwatia moyo ili wasonge. Ndio maana kuna mtu yeye na wachungaji. Wachungaji wanachompa ni maneno tu ya kumtia moyo kitoka hapo amejaa anaenda kutekeleza na anatoboa kweli kumbe angeweza kufanya kwa juhudi ileile na akafanikiqa bila mchungaji.

Nimechoka kuandika, Goodluck
View attachment 2616551
 
Bwana Yesu asifiwe.



Leo alioshea Chumvi na magadi.

Na Mungu kasaidia, Mauzo yamekuwepo Si haba.
 
Shukran Mkuu !!
Mm ni mvivu kuandika. Kwa ufupi sana. Kwenye biashara mchawi ni wewe mwenyewe na mentality yako. Pili unatakiwa uhue kuwa mishahara ya watu ndio chanzo kikuu cha mzunguko wa fedha kitaa. Mishahara ikitoka kila biashara inauza, chips, nguo, vyakula na huduma zingine. Muuza chips akiuza akapata pesa anakuja kununua nguo. Hivyo tarehe za mshahara zikipita hali huwa tete.

Mishahara mingi hutoka kwenye tarehe 20-30 kutegemea na taasisi na watu hufanya mtumizi ya hio pes kwenye tarehe 20 hadi tar za 5+ za mweizi unaofuata kisha pesa hupungua. Hivyo ukishusha mzigo kwenye tare za 7-18 hivi tegemea mauzo ya chini haijalishi mzigo ni mzyri kiasi gani. Zingatia uzuri wa mali haumfanyi mtu kununua ila uhitaji na uwepo wa pesa+uzuri wa ali ndivyo humfanya mtu nunue.

Mm huwa nashusha mzigo mara mbili kwa mwezi. Tarehe za 16+ nikivizia mishahara watu wakianza kupata tu mzigo mzuri uwepo na tarehe za 2+ hapo mishahara ndio huwa imepamba moto na mzigo huu hunipeleka hadi zile tarehe kudunduliza.

Lingenze kwenye bishara zangatia sana bidhaa iliyokutambulisha sokoni, hio ndio ishikirie. Tengeneza identity yako kwamba kwa flan kuna bidhaa flan uhakika, usiwe mtu wa kurukaruka na kujaribu kila bidhaa kisha unaacha.

Kuna jirani zangu wawili wanauza mitumba. Kila siku wanatuhumiana uchawi mm nipo neutral tu hivyo huwa wananiletea tuhuma. Shida ya haya mamo ukiyaamini tu, hata nguvu na akili ya ubunifu inashuka unaanza kutafuta mchawi. Bei ya bidhaa ni mchawi wa kwanza. Weka bei nzuri ili kila mtu aje kununua, wapo wale vibopa ambao wao pesa yao sio ya kuchungulia hao wakiingia huwa tunawalipua tu ila hawa wengine wauzie bei ndogo kumbuka siku hizi kila mtu anauza nguo kama sio duka basi mtandaoni.

Mm kuna jirani yangu anauza nguo bei ghari sana watu wakiingia kwangu wanakuta bei kitonga tu wanaanza kumsema. Mm naweza nikauza nguo kwa faida ya buku mbili tu. Ila watu wengi sana wanaelekezana dukani kwangu. Utaskia mteja anakuja anakuambia "unamjua flan, kanielekeza nije kwenye duka flan kuna nguo mzuri kwa bei nzuri" hicho ndio muhimu kwenye biashara yetu. Tengeneza msingi wa biashara yako kwanza kwa faida ndogo, baadae utapata faida kubwa sana baada ya kuaminika.

Mwisho kuto kuuza kwa mida wa siku 3 ni kawaida kutegemea na location uliyopo. Mm mwanzoni ilikua inanipa shida sana akilini ila baada ya kuilewa trend sina shida kabisa. Muhimu usipouza unaenda kwenye kioo unajiuliza nini shida. Hapa na namaanisha pengine umebadili bdhaa, mfano mwanzo ulikua na nguo official sasa una za disco. Ila kama mali ni ileile basi utauza. Pia kuna issue ya upepo wa pesa kitaa. Kuna muda pesa huadimika kabisa. Inaweza kupita hata wiki hivi kila mtu aanalia pesa hakuna hada boda hawapati abilia, hapo jua shida sio ww, ni lesa imeadimika. Wachumi wanajua kua BOT ndio inayo control haya mambo. Kuna muda huwa wanaamua pesa zirudi serikalini kwa sababu flaniflani, hili huna maamuzi nalo.

Biashara ni mentality yako pia, utakachokiamini kinaweza kukufanikishia. Humu kuna watu watakuambia fanya hivi fanya vile zote imani tu. Mm kuna jamaa huwa anatambeza viatu. Huwa ahaendi kuiza hadi apite dukani kwangu ili nimbariki, hio ni kila siku. Na kweli huwa nikimbariki anaenda anauza. Kuna siku hadi aliwahi niletea hela eti baraka zangu zinamsaidia, niliikataa. Jana alikuja nikambariki baada ya lisaa akatuma text hii nimeimbatanisha. Mm naamini kwenye biashara kuna watu wanahitaji watu wa kuwapa maneno ya kuwatia moyo ili wasonge. Ndio maana kuna mtu yeye na wachungaji. Wachungaji wanachompa ni maneno tu ya kumtia moyo kitoka hapo amejaa anaenda kutekeleza na anatoboa kweli kumbe angeweza kufanya kwa juhudi ileile na akafanikiqa bila mchungaji.

Nimechoka kuandika, Goodluck
View attachment 2616551
 
Kiukweli mkuu kama kweli umesema unamtegemea yesu embu soma hapa
Malaki 3:8_9
Malaki 3:10
Mimi nina ushuhuda wa mtu ninayemfahamu alikuwa ni boss wa duka la nguo za kiume kama biashara YAKO, akawa amesafiri kaachia mfanyakazi jamaa alikuwa ni lazima atoe fungu la kumi yule mfanyakazi akapewa maagizo mauzo yote kwanzia j3 mpaka jmosi piga hesabu ya faida nipe nitoe fungu la kumi baada ya kusafiri yule mfanyakazi akawa hafanyi hivyoo wee alikaa wiki 3 mfululizo ajauza na watu wanaingia KWA nadra sana dukani na boss hana habari yyte maana anajua fungu la kumi jumapili lazima ipelekwe na mfanyakazi kumbe hafanyi hivyo alirudi akamsimamisha KAZI alivyoanza tu kutoa fungu la kumi mambo yakawa safi, nimekujibu kutokana na umesema kwamba unamtegemea yesu japo kuna wengine hawaamini haya mambo jaribu kumtolea MUNGU
Kuna watu wengi wamebarikiwa kwenye biblia bila kutoa fungu la kumi
Hayo mafundisho hapo juu ndiyo yanayowageuza wakristo watumwa.

Mchungaji mchawi mchawi ndio anaweza kukuchezea mapichapicha kama haya ya huyo Mzee aliyesafiri.

Muhimu mwenye duka ashike Imani kuwa ni MUNGU aliyeruhusu mauzo kukauka ..aombe Toba na rehema MUNGU huyo huyo ataruhusu mauzo kurejea.Kuna kitu MUNGU anataka ujifunze kwa hili
 
Ni Duka langu la Nguo. Sasa Wiki ilopita Niliingiza Mzigo Mpya, katika hali isiyo ya kawaida Mara nyingi Nikishaleta Mzigo Mpya nikiwapigia wateja wangu, huwa Ndani ya Siku mauzo ni karibu 150K.

Kijana ananiambia alikuja Jiran (Jirani naye ana frame pembeni ya Huduma yake) akamuomba elfu Kumi, na alipompa tu toka hapo hajauza.

Mara ananiambia, Kuna Mwanamke Alikuja kama mteja, akaishia kushika shika Nguo weee akasepa, tokea hapo biashara imesimama.

Wakuuu, hamna Mauzo toka Ijumaa mpaka Leo Jumanne, hamna hata Mia, Mzigo Mpya, Kila mtu akija anausifiaaa Sanaa, lkn anaishia kusema nitarudi ila harudiii.

Wakuuu hata Mia, hata Miaaa!

Au niamin tu ni hali, ndio Kuna Siku Mauzo yanakua kiduchu ila huwez kosa Hata 30K.

Naondoaje hili Jinamizi? Ni duka ambalo niliamua kulifungua Kwa ajili ya Mwanamke (Singo mama, nilizaa naye) hivo nikalifungua ila Kila kitu anakisimamia yeye maana mtoto wetu alipata shida fulan ivi ivo sikutaka zile simu za mara Kwa mara za hela.

Huyo jamaa alomuomba Kijana elfu Kumi ni rafiki wa aliyekua Mume wa Singo mama huyu nlozaa naye, na huyu alokua Mume amekua akimtangaza na kumuombea mabaya sana huku akisema biashara yenyewe itafungwa tuu. Jamaa ana cheo Kwa tawi Moja la vya Dola, amekua anamchomea sana utambi hadi mpaka TRA inafikia wakati wanataka kutuongezea Kodi bila sababu za msingi.
Nenda kwa Nabii Clear Malisa!
 
Ngoja nicheke kwanza, Kwa nini mtu kama hakijui kitu, na akiwa amekalilishwa anakuwaga mkali bila sababu,Kwanza mimi sikai huko Tanzania mnakoongoza kwa kuwa na msongo wa mawazo,

Huku ninakoishi lazima nitoke nikatafute,sababu inabidi nilipie parmity au kibali cha kuishi kila mwaka, zaidi ya milion 2 kwa mwaka
Kuna watu wengi wamebarikiwa kwenye biblia bila kutoa fungu la kumi
Hayo mafundisho hapo juu ndiyo yanayowageuza wakristo watumwa.

Mchungaji mchawi mchawi ndio anaweza kukuchezea mapichapicha kama haya ya huyo Mzee aliyesafiri.

Muhimu mwenye duka ashike Imani kuwa ni MUNGU aliyeruhusu mauzo kukauka ..aombe Toba na rehema MUNGU huyo huyo ataruhusu mauzo kurejea.Kuna kitu MUNGU anataka ujifunze kwa hili
Lakini watu wengi wamebarikiwa KWA kutoa fungu la kumi pia ni swala la imani ndiyo maana mwisho nikasema kama unaamini hilo, asante mkuu KWA mchango wako.
 
Ni Duka langu la Nguo. Sasa Wiki ilopita Niliingiza Mzigo Mpya, katika hali isiyo ya kawaida Mara nyingi Nikishaleta Mzigo Mpya nikiwapigia wateja wangu, huwa Ndani ya Siku mauzo ni karibu 150K.

Kijana ananiambia alikuja Jiran (Jirani naye ana frame pembeni ya Huduma yake) akamuomba elfu Kumi, na alipompa tu toka hapo hajauza.

Mara ananiambia, Kuna Mwanamke Alikuja kama mteja, akaishia kushika shika Nguo weee akasepa, tokea hapo biashara imesimama.

Wakuuu, hamna Mauzo toka Ijumaa mpaka Leo Jumanne, hamna hata Mia, Mzigo Mpya, Kila mtu akija anausifiaaa Sanaa, lkn anaishia kusema nitarudi ila harudiii.

Wakuuu hata Mia, hata Miaaa!

Au niamin tu ni hali, ndio Kuna Siku Mauzo yanakua kiduchu ila huwez kosa Hata 30K.

Naondoaje hili Jinamizi? Ni duka ambalo niliamua kulifungua Kwa ajili ya Mwanamke (Singo mama, nilizaa naye) hivo nikalifungua ila Kila kitu anakisimamia yeye maana mtoto wetu alipata shida fulan ivi ivo sikutaka zile simu za mara Kwa mara za hela.

Huyo jamaa alomuomba Kijana elfu Kumi ni rafiki wa aliyekua Mume wa Singo mama huyu nlozaa naye, na huyu alokua Mume amekua akimtangaza na kumuombea mabaya sana huku akisema biashara yenyewe itafungwa tuu. Jamaa ana cheo Kwa tawi Moja la vya Dola, amekua anamchomea sana utambi hadi mpaka TRA inafikia wakati wanataka kutuongezea Kodi bila sababu za msingi.
Daah, hii aya mwisho imechanganywa mpaka imenichanganya na mimi sasa😩
 
Ni Duka langu la Nguo. Sasa Wiki ilopita Niliingiza Mzigo Mpya, katika hali isiyo ya kawaida Mara nyingi Nikishaleta Mzigo Mpya nikiwapigia wateja wangu, huwa Ndani ya Siku mauzo ni karibu 150K.

Kijana ananiambia alikuja Jiran (Jirani naye ana frame pembeni ya Huduma yake) akamuomba elfu Kumi, na alipompa tu toka hapo hajauza.

Mara ananiambia, Kuna Mwanamke Alikuja kama mteja, akaishia kushika shika Nguo weee akasepa, tokea hapo biashara imesimama.

Wakuuu, hamna Mauzo toka Ijumaa mpaka Leo Jumanne, hamna hata Mia, Mzigo Mpya, Kila mtu akija anausifiaaa Sanaa, lkn anaishia kusema nitarudi ila harudiii.

Wakuuu hata Mia, hata Miaaa!

Au niamin tu ni hali, ndio Kuna Siku Mauzo yanakua kiduchu ila huwez kosa Hata 30K.

Naondoaje hili Jinamizi? Ni duka ambalo niliamua kulifungua Kwa ajili ya Mwanamke (Singo mama, nilizaa naye) hivo nikalifungua ila Kila kitu anakisimamia yeye maana mtoto wetu alipata shida fulan ivi ivo sikutaka zile simu za mara Kwa mara za hela.

Huyo jamaa alomuomba Kijana elfu Kumi ni rafiki wa aliyekua Mume wa Singo mama huyu nlozaa naye, na huyu alokua Mume amekua akimtangaza na kumuombea mabaya sana huku akisema biashara yenyewe itafungwa tuu. Jamaa ana cheo Kwa tawi Moja la vya Dola, amekua anamchomea sana utambi hadi mpaka TRA inafikia wakati wanataka kutuongezea Kodi bila sababu za msingi.
Kama unaushaidi anachoma mpaka TRA nenda kaonane na meneja wa TRA eneo husika elezea story ilivo kama Kuna vitisho vya tra ulisikia akivitoa x wa bidada kuhusu tra na kwel baada ya sku kadhaa wakaja mweleze hawatorudia tena.
 
Back
Top Bottom