Wakuu Msaada , je Huu si uchepushaji wa Mshahara?

Wakuu Msaada , je Huu si uchepushaji wa Mshahara?

Carlos The Jackal

JF-Expert Member
Joined
Feb 6, 2017
Posts
25,725
Reaction score
78,589
Dogo (mtoto wa Bro ) anamiezi mitatu ya Ajira Mpya bila kupokea Mshahara.

Katika jitihada za kujua nini sababu, akagundua akaunti Namba iliyowekwa kupokea Mshahara, sio yakwake .

Na anadai kwenye kureport walikua wanapeleka kilakitu Kwa Nakala ,hivo sio rahisi kusema kwamba labda aliandika namba ya kaunti mwenyewe Kwa kunikosea.

Zaidi japo sijaielewa hii imekaaje, anasema Mishahara yake inaonekana inaingia yaan kwenye Mfumo anaonekana mshahara unalipwa vizur, ila haupati yeye kwakua Akaunti namba sio yake.

Ofisi ya utumishi wamedai inawezekana wao ndio walikosea kuingiza namba hiyo.

Ushauri nilompa, nikuandika Barua Kwa DED akimuomba uchunguzi wa suala Hilo.

Je GT, Kwa scenario kama hii, sio kwamba Dogo alikua anapigwa ?? Inawezekana vipi Hazina kuruhusi mishahara kuingia katika akaunti ambayo haiendani na Taarifa za Dogo?
Je haya sio mambo ya Akaunti hewa Enzi za JPM??.


Je achukue hatua gan?.
 
Dogo (mtoto wa Bro ) anamiezi mitatu ya Ajira Mpya bila kupokea Mshahara.

Katika jitihada za kujua nini sababu, akagundua akaunti Namba iliyowekwa kupokea Mshahara, sio yakwake .

Na anadai kwenye kureport walikua wanapeleka kilakitu Kwa Nakala ,hivo sio rahisi kusema kwamba labda aliandika namba ya kaunti mwenyewe Kwa kunikosea.

Zaidi japo sijaielewa hii imekaaje, anasema Mishahara yake inaonekana inaingia yaan kwenye Mfumo anaonekana mshahara unalipwa vizur, ila haupati yeye kwakua Akaunti namba sio yake.

Ofisi ya utumishi wamedai inawezekana wao ndio walikosea kuingiza namba hiyo.

Ushauri nilompa, nikuandika Barua Kwa DED akimuomba uchunguzi wa suala Hilo.

Je GT, Kwa scenario kama hii, sio kwamba Dogo alikua anapigwa ?? Inawezekana vipi Hazina kuruhusi mishahara kuingia katika akaunti ambayo haiendani na Taarifa za Dogo?
Je haya sio mambo ya Akaunti hewa Enzi za JPM??.


Je achukue hatua gan?.
negligence ya watumishi
 
Dogo (mtoto wa Bro ) anamiezi mitatu ya Ajira Mpya bila kupokea Mshahara.

Katika jitihada za kujua nini sababu, akagundua akaunti Namba iliyowekwa kupokea Mshahara, sio yakwake .

Na anadai kwenye kureport walikua wanapeleka kilakitu Kwa Nakala ,hivo sio rahisi kusema kwamba labda aliandika namba ya kaunti mwenyewe Kwa kunikosea.

Zaidi japo sijaielewa hii imekaaje, anasema Mishahara yake inaonekana inaingia yaan kwenye Mfumo anaonekana mshahara unalipwa vizur, ila haupati yeye kwakua Akaunti namba sio yake.

Ofisi ya utumishi wamedai inawezekana wao ndio walikosea kuingiza namba hiyo.

Ushauri nilompa, nikuandika Barua Kwa DED akimuomba uchunguzi wa suala Hilo.

Je GT, Kwa scenario kama hii, sio kwamba Dogo alikua anapigwa ?? Inawezekana vipi Hazina kuruhusi mishahara kuingia katika akaunti ambayo haiendani na Taarifa za Dogo?
Je haya sio mambo ya Akaunti hewa Enzi za JPM??.


Je achukue hatua gan?.
Kwanza, Ofisa Utumishi wake ni wa hovyo.

Maofisa Utumishi wanaojitambua huwa wanahakika hizo Account kuanzia tawi la Bank alipoifungua hiyo Account. Sasa kama wanaingiza tu taarifa(namba ya account) bila kufanya uhakiki ni rahisi kukosea.

Hapa mimi nawalaumu hao maofisa Utumishi, wamefanya kosa hivyo wanapaswa kuwajibika.
 
Kuna kasumba za watu kudharau jitihada/kazi ya mtu
Dogo anapiga kazi afu kirahisirahisi salary yake haipokei wakisingizia eti ni mistake ndogo tu
...
Ni sawa na mtu unapiga kazi unahustle afu mtu mwingine anakuja tu kisimplesimple anakwambia una laki2 ya fasta hapo uniazime dah huwa nachoka
 
Je GT, Kwa scenario kama hii, sio kwamba Dogo alikua anapigwa ?? Inawezekana vipi Hazina kuruhusi mishahara kuingia katika akaunti ambayo haiendani na Taarifa za Dogo?
Mkuu mifumo yetu inabadilishwa kila kukicha, hatupo Consistency.

Bank wanafanya miamala kulingana na Account number, na huwa hamna control ya Jina. Ni taasisi chache ambazo document zao kwenye malipo ili Pesa iweze kuingia ni LAZIMA Jina na Account number vifanane.

Serikalini hili ni tatizo ambalo HAWATAKI kulitatua kwakua kuna wajanja wanapiga pesa kupitia hii mbinu miaka nenda miaka rudi. Mfano Jina la mfanyakazi Carlos, account inasoma AISHA na pesa inaenda.

JAPO KWA DOGO HAPO NADHANI NI MAKOSA TU YALITOKEA, Level za chini huko sio rahisi sana kupiga kwa njia hio unayofikiri.
 
Mkuu mifumo yetu inabadilishwa kila kukicha, hatupo Consistency.

Bank wanafanya miamala kulingana na Account number, na huwa hamna control ya Jina. Ni taasisi chache ambazo document zao kwenye malipo ili Pesa iweze kuingia ni LAZIMA Jina na Account number vifanane.

Serikalini hili ni tatizo ambalo HAWATAKI kulitatua kwakua kuna wajanja wanapiga pesa kupitia hii mbinu miaka nenda miaka rudi. Mfano Jina la mfanyakazi Carlos, account inasoma AISHA na pesa inaenda.

JAPO KWA DOGO HAPO NADHANI NI MAKOSA TU YALITOKEA, Level za chini huko sio rahisi sana kupiga kwa njia hio unayofikiri.
Aisee
 
Mimi nilijua
Dogo (mtoto wa Bro ) anamiezi mitatu ya Ajira Mpya bila kupokea Mshahara.

Katika jitihada za kujua nini sababu, akagundua akaunti Namba iliyowekwa kupokea Mshahara, sio yakwake .

Na anadai kwenye kureport walikua wanapeleka kilakitu Kwa Nakala ,hivo sio rahisi kusema kwamba labda aliandika namba ya kaunti mwenyewe Kwa kunikosea.

Zaidi japo sijaielewa hii imekaaje, anasema Mishahara yake inaonekana inaingia yaan kwenye Mfumo anaonekana mshahara unalipwa vizur, ila haupati yeye kwakua Akaunti namba sio yake.

Ofisi ya utumishi wamedai inawezekana wao ndio walikosea kuingiza namba hiyo.

Ushauri nilompa, nikuandika Barua Kwa DED akimuomba uchunguzi wa suala Hilo.

Je GT, Kwa scenario kama hii, sio kwamba Dogo alikua anapigwa ?? Inawezekana vipi Hazina kuruhusi mishahara kuingia katika akaunti ambayo haiendani na Taarifa za Dogo?
Je haya sio mambo ya Akaunti hewa Enzi za JPM??.


Je achukue hatua gan?.
Mimi nilijua shida iko kwenye kupata hizo ajira 🙌🏼Kumbe hadi ukipata unapitia msoto
 
Aende mahakama ya kazi mkoani na vielelezo vyote!asihangaike na maafisa utumishi watamsumbua sana jamaa!!

Nenda na vielelezo uwaeleze umefanya KAZI Bure halafu wakulipe Hela zote walizochukuae

Hawatoboi washenzi hao!!

Nimechukia sana aiseh!!
 
Aende mahakama ya kazi mkoani na vielelezo vyote!asihangaike na maafisa utumishi watamsumbua sana jamaa!!

Nenda na vielelezo uwaeleze umefanya KAZI Bure halafu wakulipe Hela zote walizochukuae

Hawatoboi washenzi hao!!

Nimechukia sana aiseh!!
Usichukie sana, ushauri mzuri.
 
Mistake ndogo ndogo tu

Mtu hajalipwa miezi mitatu unaita mistake ndogo ndogo?
Kwanza ukipost hela kwa namba ambayo haifanani na jina hela zinarudi? Inamaana ndani ya miezi mitatu hawajawahi kujiuliza kwa nini zinarudi?
Na pengine hiyo ni Alarm tu...wanaweza kuwa wapo wengi tu huko vijijini wanateseka.....
 
Back
Top Bottom