Wakuu Msaada , je Huu si uchepushaji wa Mshahara?

Wakuu Msaada , je Huu si uchepushaji wa Mshahara?

Aende mahakama ya kazi mkoani na vielelezo vyote!asihangaike na maafisa utumishi watamsumbua sana jamaa!!

Nenda na vielelezo uwaeleze umefanya KAZI Bure halafu wakulipe Hela zote walizochukuae

Hawatoboi washenzi hao!!

Nimechukia sana aiseh!!
Hili kumbe pia linawezekana .
 
Dogo (mtoto wa Bro ) anamiezi mitatu ya Ajira Mpya bila kupokea Mshahara.

Katika jitihada za kujua nini sababu, akagundua akaunti Namba iliyowekwa kupokea Mshahara, sio yakwake .

Na anadai kwenye kureport walikua wanapeleka kilakitu Kwa Nakala ,hivo sio rahisi kusema kwamba labda aliandika namba ya kaunti mwenyewe Kwa kunikosea.

Zaidi japo sijaielewa hii imekaaje, anasema Mishahara yake inaonekana inaingia yaan kwenye Mfumo anaonekana mshahara unalipwa vizur, ila haupati yeye kwakua Akaunti namba sio yake.

Ofisi ya utumishi wamedai inawezekana wao ndio walikosea kuingiza namba hiyo.

Ushauri nilompa, nikuandika Barua Kwa DED akimuomba uchunguzi wa suala Hilo.

Je GT, Kwa scenario kama hii, sio kwamba Dogo alikua anapigwa ?? Inawezekana vipi Hazina kuruhusi mishahara kuingia katika akaunti ambayo haiendani na Taarifa za Dogo?
Je haya sio mambo ya Akaunti hewa Enzi za JPM??.


Je achukue hatua gan?.
Nina maswali haya;
1. Huo mfumo unaoonyesha kwamba mshahara unaenda kwake ni mfumo gani? Mfumo wa benki au wa mahala alipoajiriwa?

2. Kila account ina jina, hiyo namba inayopokea mishahara, ina jina la nani? Au kama si jina lake, jina linaloonekana ni la nani?

3. Kila account inayofunguliwa benki ina zile documents tunazojaza wakati wa kuifungua, documents za account hiyo inayopokea mshahara wake, zimejazwa na yeye?

4. Kwenye hiyo account, hela inapowekwa huwa zinatolewa? Eidha kupitia dirishani, ATM, internet banking au SIM banking. Kama huwa zinatolewa, nani huwa anatoa?
 
Nina maswali haya;
1. Huo mfumo unaoonyesha kwamba mshahara unaenda kwake ni mfumo gani? Mfumo wa benki au wa mahala alipoajiriwa?

2. Kila account ina jina, hiyo namba inayopokea mishahara, ina jina la nani? Au kama si jina lake, jina linaloonekana ni la nani?

3. Kila account inayofunguliwa benki ina zile documents tunazojaza wakati wa kuifungua, documents za account hiyo inayopokea mshahara wake, zimejazwa na yeye?

4. Kwenye hiyo account, hela inapowekwa huwa zinatolewa? Eidha kupitia dirishani, ATM, internet banking au SIM banking. Kama huwa zinatolewa, nani huwa anatoa?
Mkuu , 1- alikua kupitia Mfumo wa hapo Kwa muajiri wake, maana kizaa zaa Bwana Mdogo aliwabishia.. utumishi wakawa wanamwambia Pesa amelipwa, Dogo ànasema hajalipwa, akawaambia wamuonyeshe kupitia Mfumo Mahali panapoonyesha kalipwa, Moja ya mtumishi akaingia kwenye Mfumo, kweli Salary status inaonyesha Kalipwa, na alipoingia Ndani zaidi akasoma taarifa yote ya kulipwashahara Tarehe, muda n.k.

Bado Utumishi wakaendelea kumwambia wee umelipwa.

Ndipo Dogo akasema ,wamuonyeshe akaunti inayopokea Hela..hapo ndipo akagundua akaunti sio yake, na utumishi wakaibadilisha hapohapo muda huohuo .

Maswali mengine hayo siwezi Yajua.

Ila kama ujuavyo, Ajira mpya Kila kitu hutegemea Documents za muajiriwa.
 
Mkuu mifumo yetu inabadilishwa kila kukicha, hatupo Consistency.

Bank wanafanya miamala kulingana na Account number, na huwa hamna control ya Jina. Ni taasisi chache ambazo document zao kwenye malipo ili Pesa iweze kuingia ni LAZIMA Jina na Account number vifanane.

Serikalini hili ni tatizo ambalo HAWATAKI kulitatua kwakua kuna wajanja wanapiga pesa kupitia hii mbinu miaka nenda miaka rudi. Mfano Jina la mfanyakazi Carlos, account inasoma AISHA na pesa inaenda.

JAPO KWA DOGO HAPO NADHANI NI MAKOSA TU YALITOKEA, Level za chini huko sio rahisi sana kupiga kwa njia hio unayofikiri.
Nini akifanye Mtaalam kupata Haki yake?.
 
Dogo (mtoto wa Bro ) anamiezi mitatu ya Ajira Mpya bila kupokea Mshahara.

Katika jitihada za kujua nini sababu, akagundua akaunti Namba iliyowekwa kupokea Mshahara, sio yakwake .

Na anadai kwenye kureport walikua wanapeleka kilakitu Kwa Nakala ,hivo sio rahisi kusema kwamba labda aliandika namba ya kaunti mwenyewe Kwa kunikosea.

Zaidi japo sijaielewa hii imekaaje, anasema Mishahara yake inaonekana inaingia yaan kwenye Mfumo anaonekana mshahara unalipwa vizur, ila haupati yeye kwakua Akaunti namba sio yake.

Ofisi ya utumishi wamedai inawezekana wao ndio walikosea kuingiza namba hiyo.

Ushauri nilompa, nikuandika Barua Kwa DED akimuomba uchunguzi wa suala Hilo.

Je GT, Kwa scenario kama hii, sio kwamba Dogo alikua anapigwa ?? Inawezekana vipi Hazina kuruhusi mishahara kuingia katika akaunti ambayo haiendani na Taarifa za Dogo?
Je haya sio mambo ya Akaunti hewa Enzi za JPM??.


Je achukue hatua gan?.
Hakuna bahati mbaya hapo na wala hakuna kukosea namba, kila kitu ni mpango kabambe. Kwanini? Kwa sasa ili hazina kupitia utumishi wafanye malipo ya mshahara wa mhusika, kuna vitu vitano viwepo na lazima vioane vyote sawa sawa.
1. Check number
2. Majina matatu ya muajiriwa.
3. Jina la benki ambapo mshahara utaingia
4. Namba ya akaunti katika hiyo benki
5. Majina matatu ya mhusika mwenye hiyo akaunti.

Kukosewa kwa tarakimu moja au herufi moja tu kutapelekea hazina wasifanye malipo.
 
Ndipo Dogo akasema ,wamuonyeshe akaunti inayopokea Hela..hapo ndipo akagundua akaunti sio yake, na utumishi wakaibadilisha hapohapo muda huohuo .

Kwa hapo tatizo liko kwa hao wa utumishi. Waligundua kwamba akaunti ilikosewa na tayari ishawekewa hela ya mtu mwingine, sasa kwa nini waibadilishe haraka kabla ya kuhakikisha hela inarudi? Au waliweka makusudi?
Je huyo ndugu yako anaijua hiyo akaunti iliyopokea hela? Nafikiri itamsaidia baadae kama kuna ufuatiliaji utakaofanyika.
 
Kwa hapo tatizo liko kwa hao wa utumishi. Waligundua kwamba akaunti ilikosewa na tayari ishawekewa hela ya mtu mwingine, sasa kwa nini waibadilishe haraka kabla ya kuhakikisha hela inarudi? Au waliweka makusudi?
Je huyo ndugu yako anaijua hiyo akaunti iliyopokea hela? Nafikiri itamsaidia baadae kama kuna ufuatiliaji utakaofanyika.
Haijui hata hiyo AKAUNTI,
 
Hakuna bahati mbaya hapo na wala hakuna kukosea namba, kila kitu ni mpango kabambe. Kwanini? Kwa sasa ili hazina kupitia utumishi wafanye malipo ya mshahara wa mhusika, kuna vitu vitano viwepo na lazima vioane vyote sawa sawa.
1. Check number
2. Majina matatu ya muajiriwa.
3. Jina la benki ambapo mshahara utaingia
4. Namba ya akaunti katika hiyo benki
5. Majina matatu ya mhusika mwenye hiyo akaunti.

Kukosewa kwa tarakimu moja au herufi moja tu kutapelekea hazina wasifanye malipo.
Mkuu Dogo afanyeje Sasa ??
 
Kwanza, Ofisa Utumishi wake ni wa hovyo.

Maofisa Utumishi wanaojitambua huwa wanahakika hizo Account kuanzia tawi la Bank alipoifungua hiyo Account. Sasa kama wanaingiza tu taarifa(namba ya account) bila kufanya uhakiki ni rahisi kukosea.

Hapa mimi nawalaumu hao maofisa Utumishi, wamefanya kosa hivyo wanapaswa kuwajibika.
Mkuu za siku!!

Afanye nn?
 
Dogo (mtoto wa Bro ) anamiezi mitatu ya Ajira Mpya bila kupokea Mshahara.

Katika jitihada za kujua nini sababu, akagundua akaunti Namba iliyowekwa kupokea Mshahara, sio yakwake .

Na anadai kwenye kureport walikua wanapeleka kilakitu Kwa Nakala ,hivo sio rahisi kusema kwamba labda aliandika namba ya kaunti mwenyewe Kwa kunikosea.

Zaidi japo sijaielewa hii imekaaje, anasema Mishahara yake inaonekana inaingia yaan kwenye Mfumo anaonekana mshahara unalipwa vizur, ila haupati yeye kwakua Akaunti namba sio yake.

Ofisi ya utumishi wamedai inawezekana wao ndio walikosea kuingiza namba hiyo.

Ushauri nilompa, nikuandika Barua Kwa DED akimuomba uchunguzi wa suala Hilo.

Je GT, Kwa scenario kama hii, sio kwamba Dogo alikua anapigwa ?? Inawezekana vipi Hazina kuruhusi mishahara kuingia katika akaunti ambayo haiendani na Taarifa za Dogo?
Je haya sio mambo ya Akaunti hewa Enzi za JPM??.


Je achukue hatua gan?.
Ni ngumu sana mfumo hauruhusu
 
Mkuu za siku!!

Afanye nn?
Afuatilie wafix hilo kosa la account number na abainishiwe hela zilikuwa zinaingia kwa account ya mtu gani.

Then, aongee na mwajiri wake kama kuna uwezekano wa kurudishiwa hata kiasi kidogo.

Kisheria hili suala sijui limekaaje.

Binafsi naona bora akifuatilia apate hata kidogo halafu maisha yaendelee ili kuepuka usumbufu usio wa lazima
 
Hata Mimi nmewaza hili, nmemuambia akomae nao tu
Kwa uelewa wangu mdogo ukikosea namba ya account lkn jina likiwa sahihi iyo pesa aiwezi kwenda labda ukosee namba ya simu maana taharifa itaenda kwenye namba husika uliyo iweka
Apo Kuna mtu anakula mshahara wa uyo Dogo tena inawezekana ni mtu wakitengo kikubwa kabisa ndio maana ata akifuatilia anazungushwa tuu bila majibu ivyo ajitaidi kwenda kwa DED nadhani atapata msaada
 
Mkuu , 1- alikua kupitia Mfumo wa hapo Kwa muajiri wake, maana kizaa zaa Bwana Mdogo aliwabishia.. utumishi wakawa wanamwambia Pesa amelipwa, Dogo ànasema hajalipwa, akawaambia wamuonyeshe kupitia Mfumo Mahali panapoonyesha kalipwa, Moja ya mtumishi akaingia kwenye Mfumo, kweli Salary status inaonyesha Kalipwa, na alipoingia Ndani zaidi akasoma taarifa yote ya kulipwashahara Tarehe, muda n.k.

Bado Utumishi wakaendelea kumwambia wee umelipwa.

Ndipo Dogo akasema ,wamuonyeshe akaunti inayopokea Hela..hapo ndipo akagundua akaunti sio yake, na utumishi wakaibadilisha hapohapo muda huohuo .

Maswali mengine hayo siwezi Yajua.

Ila kama ujuavyo, Ajira mpya Kila kitu hutegemea Documents za muajiriwa.
Binafsi, naona majibu ya maswali niliyouliza yakipatikana, kila kitu kitakuwa wazi.
 
Ni uzembe wa hali ya juu. Tuseme walikosea, fine. Je, imekuaje kosa hilo limeendelea kudumu hata zaidi ya miezi 3??
Kuna ugumu gani kusitisha mshahara kuendelea kuingia kwenye akaunti iliyokosewa???
Mambo mengine yanakera na kusikitisha zaidi ya sana
 
Je GT, Kwa scenario kama hii, sio kwamba Dogo alikua anapigwa ?? Inawezekana vipi Hazina kuruhusi mishahara kuingia katika akaunti ambayo haiendani na Taarifa za Dogo?
Je haya sio mambo ya Akaunti hewa Enzi za JPM??.
Lile genge lote limerudi mtandaoni
 
Ni uzembe wa hali ya juu. Tuseme walikosea, fine. Je, imekuaje kosa hilo limeendelea kudumu hata zaidi ya miezi 3??
Kuna ugumu gani kusitisha mshahara kuendelea kuingia kwenye akaunti iliyokosewa???
Mambo mengine yanakera na kusikitisha zaidi ya sana
Hawa jamaa ngoja tumpambanie Dogo , ni lazima wawajibishwe Kwa namna yoyote Ile.
 
Mkuu mifumo yetu inabadilishwa kila kukicha, hatupo Consistency.

Bank wanafanya miamala kulingana na Account number, na huwa hamna control ya Jina. Ni taasisi chache ambazo document zao kwenye malipo ili Pesa iweze kuingia ni LAZIMA Jina na Account number vifanane.

Serikalini hili ni tatizo ambalo HAWATAKI kulitatua kwakua kuna wajanja wanapiga pesa kupitia hii mbinu miaka nenda miaka rudi. Mfano Jina la mfanyakazi Carlos, account inasoma AISHA na pesa inaenda.

JAPO KWA DOGO HAPO NADHANI NI MAKOSA TU YALITOKEA, Level za chini huko sio rahisi sana kupiga kwa njia hio unayofikiri.
Ukaona utumie mfano jina langu la Carlos au sio mkulungwa??
 
Back
Top Bottom