Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwa sasa anaetaka kujua ni mimi, mkuu, inamaana hapo siku za hatari haziwezi kung'amuliwa mpaka hiyo app?Mkuu kwa siku hizo za hedhi kukaa ni kawaida, kwa ajili ya suala la siku za hatari adownload app inaitwa “Flo” apo atajua mzunguko wake hua ni siku ngapi na siku za hatari kila kitu
Kutokana na knowledge niliyonayo 28 days circle maana yake anaanza siku ya 11 hadi 17 katika hiyo circle ni za hatari, kwakuwa fertilization inaanza siku ya 14 ambayo yai linaingia kwenye mirija ya uzazi kutoka kwenye ovary hivyo ukisex nae siku ya 11 sperm zinakaa masaa 72 ndipo zinakufa Kwahiyo 11 yai itazikuta sperm siku ya 14 zikiwa zinasubiri, naomba kuishia hapo maana hii kitu imenisababishia kupata watoto wa kiume tuuHedhi anakaa siku 3 hadi 4,
Mara nyingi kwenye siku anaingia kati ya tarehe 26, 27 na 28 kila mwezi...
Period ya 28 days siyo sahihi. Kuingia hedhi kila tarehe 26, 27, au 28 haina maana kwamba period (muda tangu one menstrual flow hadi nyingine) nayo ni 28. Wrong mathematics.Kutokana na knowledge niliyonayo 28 days circle maana yake anaanza siku ya 11 hadi 17 katika hiyo circle ni za hatari, kwakuwa fertilization inaanza siku ya 14 ambayo yai linaingia kwenye mirija ya uzazi kutoka kwenye ovary hivyo ukisex nae siku ya 11 sperm zinakaa masaa 72 ndipo zinakufa Kwahiyo 11 yai itazikuta sperm siku ya 14 zikiwa zinasubiri, naomba kuishia hapo maana hii kitu imenisababishia kupata watoto wa kiume tuu
Mzunguko inahesabika tangu tarehe anayoingia hedhi hadi tarehe nyingine anayoingia, fafanua kuhusu hesabu zako navyofahamu mwanamke siku ya 14 hata kama anaenda siku 30 ndiyo huwa best target ya kupata mimba ambayo sperm zinakuwa na afya ya kutosha na siku za hatari ni kuanzia ya 11-17 katika mzunguko wake wa hedhi hakuna cha kutoa siku za kutoka damu1. Lini aliingia period mara ya mwisho? 28th possibly
2. Menstrual flow inakaa siku ngapi? 4
3. Menstrual cycle in siku ngapi? (30 days?)
Siku za rutuba (fertile days) ni tarehe 8 hadi tarehe 17
Ovulation inapaswa kuwa tarehe 12
Hedhi anakaa siku 3 hadi 4,
Mara nyingi kwenye siku anaingia kati ya tarehe 26, 27 na 28 kila mwezi.
Je, kwenye mzunguko huu hapana tatizo?,
je mzunguko huu ni wa siku ngapi?
Je, kwenye mzunguko huu siku zake za hatari ni zipi?
26-18=81. Lini aliingia period mara ya mwisho? 28th possibly
2. Menstrual flow inakaa siku ngapi? 4
3. Menstrual cycle in siku ngapi? (30 days?)
Siku za rutuba (fertile days) ni tarehe 8 hadi tarehe 17
Ovulation inapaswa kuwa tarehe 12