Wakuu,my new project nmeipita miaka 9 niko sahih na hyo gape,ni kabint udsm 1st yr.

Wakuu,my new project nmeipita miaka 9 niko sahih na hyo gape,ni kabint udsm 1st yr.

Watu wanamsaidia hivi unadhan isingekuwa pesa angempata yule mrembo,?
Mkuu hakuna mtu anaemsaidia yule mzee.had chup za yule dada zina vinasa saut mkuu
 
Wakuu haka katoto ni kapya kabsa kwenye list,na maulana akijalia ndo nataka kaje kua mke yaan plan ni kukajaza mapemaaa..maana ni kazur balaaa.

Nataka nijiweke mazimaa,makandokando yoote nitupe huko...je umr huu haka katoto kwel tutaenda sawa?

N.b mi mwaka huu mwishon ndo naiaga 20s,naingia uwanda mwingne,..
Binti ana 20 net.

Sorry typing error hapo kwenye gape=gap......
Hebu focus kwenye UE kwanza usije feli
 
Mkuu huyu mtoto siwez mwacha,..tutajifunza hukohuko ukubwan,maana mi mwenyew nimechafua saaana,halaf ni mtoto wa mjin,huyu mtoto ni mpole mzur mtakatifu,kananipenda sana kananiita mnyamwezi..so haka katoto nadhan ntaendana nako mkuu,...ntakavumilia kale ujana
Nmekwepa mishale ming hata wivu sina skuhiz,ila nahis mbele ya haka kabint wivu utakuepo.
Ukimwi umepima usije ukamuua binti wa watu bure kabla hajafikia malengo yake.
 
Wakuu haka katoto ni kapya kabsa kwenye list,na maulana akijalia ndo nataka kaje kua mke yaan plan ni kukajaza mapemaaa..maana ni kazur balaaa.

Nataka nijiweke mazimaa,makandokando yoote nitupe huko...je umr huu haka katoto kwel tutaenda sawa?

N.b mi mwaka huu mwishon ndo naiaga 20s,naingia uwanda mwingne,..
Binti ana 20 net.

Sorry typing error hapo kwenye gape=gap......
Upepo wako ka wangu
Hawa watoto aisee..ulivoelezea nimekusoma...hahhhaa dahh
 
umewahi kujiuliza kwanini baadhi ya wachangiaji uwa wanaomba namba ya mhusika wako ili wajue kama atakufaa?
 
Wakuu haka katoto ni kapya kabsa kwenye list,na maulana akijalia ndo nataka kaje kua mke yaan plan ni kukajaza mapemaaa..maana ni kazur balaaa.

Nataka nijiweke mazimaa,makandokando yoote nitupe huko...je umr huu haka katoto kwel tutaenda sawa?

N.b mi mwaka huu mwishon ndo naiaga 20s,naingia uwanda mwingne,..
Binti ana 20 net.

Sorry typing error hapo kwenye gape=gap......
Mtaani kwetu kuna mzee ana miaka kama 55 hivi. Ana watoto 9 alozaa na mama.tofauti tofauti . Huyu mzee ni mtu wa bata sana msanii wa mjini na hajasoma. Baada ya kuona umri unamtupa mkono na hajaoa akaoa mdada mmoja bat mad nae mpuuzi tu. Akisafiri dada anatrmbea mpaka na wauza urembo wanaopita nyumbani kwake.juzi mwanzoni mwa mwaka dada alitoroka nyumbani na kwenda kuishi kusikojulikana.alivyoshinfwa na maisha akarudi na kumwambia mzee.alirubuniwa na jamaa hafi akampa papuchi.kwakua.mzee ni mpuizi akamdai jamaa fidia ya pesa ili wamalizanr ati kwakuwa anatrmbea na mkewe.kuwa makini sana na under age
 
Mkuu kaswende na gono ni magonjwa ya ngozi sehemu za siri ndiyo maana uambukizwaji wake huwa wa haraka sana.
Kwahyo bacteria hao wakichekiwa kwenye damu hawaonekani?ngoja nifanye utafti
 
Back
Top Bottom