Wakuu nahisi huyu jamaa ananigongea demu wangu

Wakuu nahisi huyu jamaa ananigongea demu wangu

Sharobaro la jf

JF-Expert Member
Joined
Apr 23, 2020
Posts
237
Reaction score
325
Daaah wakuu nahisi huyu jamaa ananigongea demu wangu, inshort nina wiki sina maelewano na demu wangu ambae tunakaa mbali mbali sasa na jamaa angu ambae ni msela yaani tunapatana utadhani sisi ni ndugu wa damu.

Juzi kati kampost FB demu wangu akaandika caption ya love is blind

Then demu wangu akaja kukomenti welcome back na makopakopa mengi ya love, daah wakuu nimechanganyikiwa na sipendi kugombana na mshikaji wangu kisa demu, nifanyaje?

Yaani nahisi hadi kuumwa
 
Nilijuwa mke kumbe Demu tu acha kulia lia mwanaume

Wanawake wamejaa mtaani tafuta demu mwingine unalilia demu shame on u!

Videmu vyenyewe ndio hivi ukikutana nacho hata simu yake hakitaki uguse halafu unasema demu wako hakuna demu wa mtu nowdays labda mke tena mwenye hofu ya Mungu"
 
Mnhh... Pole Sana Mkuu...
 
Kwahyo kumbe hayo ndo mambo mnayoyafanya huko fesibuku.. Basi tena ndugu yangu pole aisee huna namna..

Unajua maana ya welcome back!! Inaonekana wali date wakaachana wakakulana wakaachaana asahiv wanarudiana na wew upo hapo hapo tu unazubaa..

Pole kiongozi😀😀
 
Una hisi nini sa apo.wewe pigia mstari .uwasahau wote dem plus jamaa..wakate kabsa kama hawaja wai kuwepo kwenye life lako [emoji855]
 
Back
Top Bottom