DeepPond
JF-Expert Member
- Nov 18, 2017
- 41,728
- 103,997
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Haaaaa jama haja take any action tukaona amefeli wapi ndio tumsaidie.Na wewe ungecoment makopa kopa ili wagundue umegundua sasa we kuona tu umekimbilia jf wewe ndio wale mkiona mende ndani mnawahi kuomba msahada kwa jirani.
Humu wanakujaga waliozidiwa jombaa we kwa Hali yako rudi nyumbani kaendekee kuchapa kazi!
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwanza nini chanzo cha wewe kutoelewana na manzi wako?
dharau, demu alianza kunionyeshea dharau
Kwanza nini chanzo cha wewe kutoelewana na manzi wako?
daaah mkuu moyo moyo tatizo
Hii wiki nzima humu jf unamuimba huyo demu wako. Kila post unaomba ushauri na unashauriwa umuache ila baada ya siku moja unapost Tena kafanya hivi au vile. Hebu jitahidi kuishi kama mwanaume, usiishi kiume.
🤣🤣🤣🤣
Sharobato la Jf vs sharobaro la mtaani
hamna mkuu tatizo moyo
Sisi tusiojua radha ya mapenzi tunacomment wapiii kulia lia tuliachaga kitambo.......
Achana na mapenziii ya kipumbavu ambayo yanakuharibia self-esteem ,kuwa mwanaume huyo mwanamke piga chini mzee unasubir Namba ya NIDA ndo uachane nae????
F@nn¥[emoji769]
daah mkuu moyo tatizo
Bro unakwama wapi si utafute demu mwingine
Demu akiwa mpya ana raha zake kila mda zinaingie sms baby upo wapi?
Sasa wewe umeshapewa chansi ya kutafuta demu mpya bado unalilia tu
Sent using Jamii Forums mobile app
daaah pamoja mkuu usijari
Kwanza pole lakini ushauri ni huu tafta pesa kijana ukiwa napesa unachangua uwe na nan ukiwa huna hela kila siku utakuja Jf kulia lia halafu jitahidi ukiwa na manzi mchachavye vizuri ili hata kama huna hela awe anakumbuka vitu flani sasa rafiki unaweza kuwa huna chapaa plus shoo mbovu kitandan unadhani hata mkumbuka yule anafikishaga kitonga? Samahani kama nitakuwa nimekukwaza.
Sent using Jamii Forums mobile app
mkuu hapana mkuu sema unajua nini moyo ndio tatizo, hata nikiwa kazini kuna muda najikuta tu namkumbuka huyo demu ila niliamua kufuta namba zake na kumblock whatsapp na instagram japo mda huu naumia ila najitahidi kumsahau
Hivi mapenzi ni kila kitu kwako?.Huna jambo lingine linalo ku-keep busy?